JamiiTalks
JF Advocacy Team
- Aug 7, 2018
- 625
- 938
Shirika la Afya Duniani limeweka bayana dalili za COVID-19 ambazo hutokea kwa watu wachache.
Dalili hizo zinatajwa kuwa ni:
Unasisitizwa upatapo dalili hizo chukua tahadhari kwa kukaa mbali na wengine huku ukifanya mchakato wa kwenda kituo cha afya kupima na kutibiwa.
===
Less common Covid-19 symptoms:
Dalili hizo zinatajwa kuwa ni:
- Kupata maumivu ya kichwa
- Kuwashwa kooni
- Kupata maumivu sehemu mbalimbali za mwili
- Kuhara
- Kupata upele kwenye ngozi, au kubadilika rangi kwa vidole
- Macho kuwa mekundu
Unasisitizwa upatapo dalili hizo chukua tahadhari kwa kukaa mbali na wengine huku ukifanya mchakato wa kwenda kituo cha afya kupima na kutibiwa.
===
Less common Covid-19 symptoms:
- Sore throat
- Headache
- Aches and pains
- Diarrhoea
- A rash on skin, or discolouration of fingers or toes
- Red or irritated eyes