mwongozo junior
Senior Member
- Jul 28, 2015
- 180
- 65
hivi ukawa huwa hamna hoja ya kuchangia? Maana kazi zenu kutoa matusi tu na kulialia hivi ninyi wote ni watoto wa kike? Maana hata mwanamke hufikia kipindi anakuwa jasiri wa kujenga hoja na kupinga hoja kuweni makini mnashusha hadhi yenu
Tatizo mada yako ni baseless, inafika wakati unakera watu. GT wanakuja kusoma kwa usongo kwamba kuna mada ya maana ya kujadili, ukiingia ndani ni -----! Wkati mwingine kusemwanga mnajitakia. Your example is devoid of any similarities!
nashukuru kijana kukubali matokeo mapema na kuipa ushindi chama cha mapinduzi tungepata vijana wengi kama wewe nadhan nchi ingekuwa mbali ila naamin utawahamasisha vijana wenzako kujiunga na ccm kwa tutashinda kijana shutuka..........................
Vijana tupo.. Sijawahie kuipenda ccm ila Kwa JPJM sina shaka kabsaa
Waislamu msimpe lowassa kura. lowassa ameletwa ukawa na gwajima. Lowaasaa akishinda gwajima atakua na nguvu sana. Gwajima haupendi uislamu. Vile lowassa nae ana chembechembe za kuuchukia uislamu, wakiwa madarakani wataangamiza uislamu.
Waislamu amkeni. Semeni NO kwa lowassaaaaa
Lowasa ndiye aliesaini mkataba uliyoyapa makanisa haki ya kupewa ruzuku na serikali. Waislamu wameachwa bila ruzuku yoyote licha ya kuwa walipa kodi pia.
WALLAHI mkimpa kura lowassa mtaingia motoni
Mpeni kura magufuli. Siyo mdini
Waislamu msimpe lowassa kura. lowassa ameletwa ukawa na gwajima. Lowaasaa akishinda gwajima atakua na nguvu sana. Gwajima haupendi uislamu. Vile lowassa nae ana chembechembe za kuuchukia uislamu, wakiwa madarakani wataangamiza uislamu.
Waislamu amkeni. Semeni NO kwa lowassaaaaa
Lowasa ndiye aliesaini mkataba uliyoyapa makanisa haki ya kupewa ruzuku na serikali. Waislamu wameachwa bila ruzuku yoyote licha ya kuwa walipa kodi pia.
WALLAHI mkimpa kura lowassa mtaingia motoni
Mpeni kura magufuli. Siyo mdini
Tumewanyanyasa sana Yanga. Mwaka wao huu na CCM yetu
Nimeumia sana kwa Simba kufungwa. Ila nimefarijika kwa kijani kushinda. Simba UKAWA walianza kufanya mambo ya kijinga sana pale walipokuwa wakiimba eti Lowasa mabadiliko huku wakizungusha mikono yao. Tangu hapo sikuangalia tena mpira
japo mimi ni shabiki nambari one wa simba siwezi kuomba mabaya kwa yanga ,mfano leo yanga anakufa simba tutacheza na nani
ushindi huu wa yanga leo hii japo nimeumizwa ila naona ni dalili njema za ushindi kwa ccm,kwa sababu ccm ina rangi ya kijani na njano japokuwa si mahusiano ya kisiasa kati ya ccm na yanga ila ni dalili kuwa njano na kijani ni mwaka wao wa kushinda katika kila hatua ya kiushindani mwaka huu.
Kwa hali hiyo wale wenzangu na mie wajue kuwa ushindi wa kila namna mwaka huu ni wa kijani na njano,ccm inashinda na dalili zimeanza kuonekana hata kwa tafiti mbalimbali zilizotolewa kabla ya jana kuwa siku ya mwisho ya kutoa tafiti kwa mjibu wa sheria ya nec
sina kinyongo na ushindi wa yanga na nasisitiza amani iendelee kutawala kwa maslahi mapana ya taifa letu.
Binafsi ntamchagua mwadilifu na mchapa kazi jp magufuli kuwa rais wa tanzania.
Naipenda Yanga na ni mshabiki wa damu,ila kwa CCM kushinda,HAIWEZEKANI!