<br />basi lipo tuupu,halafu mtu anaacha vitu vilivyo wazi<br />
anakuja kukaa pembeni yako...na harufu ya jasho juu lol
<br />
<br />
ha ha ha! Usiombe upande bus la kwenda kivukon asubuh, wale wajasiria mali n noumer,shortly hawaogi.
nimecheka mpaka basi...
sasa watu hao,wapo pia maofisini...
unakuta haupo kwenye mood ya story,mtu huyo....hanyamazi...
<br />unafikiri ungetumia neno lingine usingeeleweka?
Kna cku tulikuwa kwny folen,sasa kna muuzaj maji akawa anapita kwa konda kila saa "pata maji bariiiid maji bariiid". Kumbe konda kile kitu kilikuwa kinamuuma khee! Akaropoka "bwana acha ku2pigia makelele unatupa maji barid, ugal uko wap, au unadhan kila m2 amekula mchana" bas dah gobole zima la mbagala likaripuka kicheko.
Afu kama nauli ni sh 350 mtu anatoa sh 300 akiulizwa nyingine anajifanya kutoa sh 10,000. Konda anapokea na anarudisha chenji hafu jamaa anabaki kanuna kimoyomoyo.
Najiskia msisimko ninaposoma mada
daladala raha sana,
wadada wanafanyiwa kitu mbaya hasa gari ikiwa imejaza nyomi. Alishuka dada mmoja mrembo huku kwa nyuma akiwa amekojolewa sperms duh ilikuwa aibu ile mbaya yeye anatembea tu bila habari sijui hata mbele ya safari ilikuwaje.
Dungadunga wanaitwa mitaa ta tmk wapo kibao