Daladala zirudi njia ya Kimara - Kariakoo

Daladala zirudi njia ya Kimara - Kariakoo

Wints

Member
Joined
Dec 31, 2022
Posts
30
Reaction score
45
Mwendokasi wanazingua sana aisee kwa upande wa muda.

Magari ni machache mno na ni ya kusubiria sana hii inachelewesha sana aisee kama wameshindwa waruhusu daladala zianze route ya kimara kupunguza foleni.

Lengo la mwendokasi lilikuwa ni kuokoa mda na kupunguza foleni na kero ya usafiri lakini naona hilo lengo halitimizwi kwani kero ya usafiri iko palepale.
 
Katika kitu ambacho serikali iliharibu ni upuuzi wa mwendo kasi.

USSR
 
MRADI WA UDART NI MZURI MNOOO ILA SHIDA IKO KATIKA UENDESHAJI WAKE.

ANYWAY AM CAPABLE OF FIXING UDART TO BE AT ITS MAXIMUM PERFORMANCE.
 
Back
Top Bottom