Daktari wa mifugo/Veterinarian

Daktari wa mifugo/Veterinarian

Dubs

Member
Joined
Jul 6, 2009
Posts
17
Reaction score
2
Naomba mwongozo jamani...
Kazi ya daktari wa mifugo/veterinarian zinalipa sana maeneo gani hapa Tanzania?
 
Sorry mtoa mada, swali ulilouliza lina utata, ni swali ambalo mimi binafsi sijalielewa, unaposema inalipa una maana gani hasa?
 
Sorry mtoa mada, swali ulilouliza lina utata, ni swali ambalo mimi binafsi sijalielewa, unaposema inalipa una maana gani hasa?
Namaanisha kwenye maslahi ndugu.
 
Back
Top Bottom