Daktari mtaalam karibu tushirikiane

Daktari mtaalam karibu tushirikiane

Changamoto2015

JF-Expert Member
Joined
Oct 1, 2012
Posts
773
Reaction score
316
Nahitaji business partner daktari mtaalam, akiwa mstaafu ni vyema zaidi. Awe mkaazi wa dar es salaam. Mwenye uzoefu wa kutosha kwenye general medicine au hata huduma kwa watoto.

Lengo ni kushirikiana kuanzisha dispensary kwa pamoja. Tunaanza hatua ya mwanzo hadi mwisho kwa pamoja.
 
mimi ni nurse assistant, msaada wako tafadhari mkuu! nipo tayari kwa hatua zote awali kwenye ufunguzi wa dispensary yako.
 
mim ni gynaecologist kama uko series ni-pm harafu tufungue Maternity blocker maana kwenye gynecology and obstetric ndio kuna pene
 
mimi ni mwanafunzi nipo medicine mwaka wa pili..... number yangu ni 0713774746
 
Laboratory Technician- 0652902994
 
Je part hamna hapo....na iko seh gan mm ni nurse officer nipo neonatal ward
 
Back
Top Bottom