Lumbi9
JF-Expert Member
- Oct 12, 2014
- 8,566
- 11,808
Nimeingia kanikaribisha kwa bashasha, nikaketi nikampa kadi kaweka mezani katoa simu, nikatulia nikijua labda anaweka silent, kama dakika moja ikapita nikamshtua "dokta", akasema ongea nakusikiliza.
Ikabidi niongee tu japo namuona kabisa mtu 'amekosentreti' kwenye simu yake, hanisikilizi wala haandiki, ikabidi nami nitoe simu yangu, baada ya kimya kama cha sekunde 20 kashtuka, ananiuliza mbona huongei, nikamwambia nishaongea nilifikiri unaandika kwenye simu, akajishtukia, kaweka simu kwenye koti
Ananiambia unajua nina matatizo flani, nikammwambia kawaida (sikutaka ku-argue naye sana as long as ujumbe kashaupata) kaweka kadi vizuri kaanza kuandika, moyoni najisemea dokta leo umetoa boko.
VITU VINGINE HAVITAKAGI UJUAJI
Ikabidi niongee tu japo namuona kabisa mtu 'amekosentreti' kwenye simu yake, hanisikilizi wala haandiki, ikabidi nami nitoe simu yangu, baada ya kimya kama cha sekunde 20 kashtuka, ananiuliza mbona huongei, nikamwambia nishaongea nilifikiri unaandika kwenye simu, akajishtukia, kaweka simu kwenye koti
Ananiambia unajua nina matatizo flani, nikammwambia kawaida (sikutaka ku-argue naye sana as long as ujumbe kashaupata) kaweka kadi vizuri kaanza kuandika, moyoni najisemea dokta leo umetoa boko.
VITU VINGINE HAVITAKAGI UJUAJI