MWALIMU DAIMA
Senior Member
- Mar 4, 2023
- 129
- 263
Dah mitaa Fulani, muda huu naona mke wa mtu ana ingizwa logde na jamaa.
#. Kataa ndoa
# fear woman
#. Kataa ndoa
# fear woman
NdioKuna umeme uko?
Umeme umerudi huku unakatwa na kurudishwaKuna umeme uko?
Huu uzi bila picha ni chai ya motoDah mitaa Fulani, muda huu naona mke wa mtu ana ingizwa logde na jamaa.
#. Kataa ndoa
# fear woman
NakaziaWe janja ushaanza uwaki, lengo la huu uzi wako ni hizo hashtag ila ukaona usindikize na uchepukaji.
Usipoangalia maumivu yako yatabaki pale pale kama sio kuongezeka.
Anadhan ataepukana na hali aliyonayo kwa style hiyo ya kataa ndoa na fear women 😂Nakazia
Aache longolongoAnadhan ataepukana na hali aliyonayo kwa style hiyo ya kataa ndoa na fear women 😂
MWALIMU DAIMA soma ujumbe wako.Aache longolongo