Chupayamaji
JF-Expert Member
- Sep 19, 2017
- 5,780
- 13,690
We mwananyamala walisika wazaramo wakimkanya mtoto asilie
kaumbika km ww hivi ebu jipige picha then uiangalie , yaan hvohvo utakavyoonaNdo nasubiri picha ya walioumbwa


mkuu,,, umenichekesha sanaNenda gereji kajiloweke kwenye oil chafu foma haitakusaidia
Hahahahahaaa stori zingine ni kwa ajili ya Kunogesha Eid Elfitr, kajiloweke kwenye foma kama Josho la ng'ombe mkuu.Wakuu nna balaa hapa nashindwa nilitatuaje,,, ebana ,,
nilikuwa katika mishe zangu za kibiashara katika mkoa wa jirani na nnapoishi na familia yangu, asa huku nilipoenda kuna kimchepuko nilikuwa nakimendea kwa siku nyingi sana ,, mtoto wa kitanga ameumbwa akaumbika,
asa jana ndo ilikuwa mechi ya ufunguzi ,na tulipanga tunaifungulia kwake maana anaishi mwenyewe tu , na tangiapo nilimweleza ukweli kuwa mm nimeoa na nna familia , maandalizi ya mechi yalianza tangu wiki iliyopita ,, asa jana ndo ilikuwa mchezo wenyew ,,
kwanza maandalizi kabla ya game wakati tukiwa uwanjani yalikuwa balaa , nilipakwa mafuta ya asili ya uarabuni yananukia balaa , huku maandalizi ya mechi kila mmoja akimfanyia mwenzake kadri ya utaalam wake,, aseee watoto wa kitanga kwenye hii mishe hatari , tumemaliza maandaizi game likaanza nikapga mfululizo gama round 2 hivi tukapumzika nikawekewa maji ya kuoga sijui yaliwekewa manukato gani tena yananukia balaa ,, nkaoga na mahaba kama yote badae tukarudi uwanjani had nikaomba poo, nmepga round jumla 5 mtoto bado anadai
asa kilichonifanya niandike hapa ni kuwa baada ya mechi hii ya ugenini, nimeoga zaidii ya mara tatu lakini yale manukato hayajaisha mwilini , mwili unanukia balaa ,, nikifika kwa wife lazma tu nihojiwe kuwa manukato haya lazma nimekula nje,,, asa nataka nijaribu niende kwa mshikaji kabla ya kwenda home nikajiloweke kwenye foma japo saa moja labda manukato yataisha ,... km kuna namna wadau mnaweza nisaidia kukata hii harufu nadhan mchepuko amefanya kusudi ili ijulikane nimekula nje, nawasilisha
Mkuu harufu ya samaki inashinda manukato hadi ya dubaiushaur mwengne bana
kaumbika km ww hivi ebu jipige picha then uiangalie , yaan hvohvo utakavyoona
Perfume nilichanganya 2 tofauti zote za kike akajua nimeziooga wakat namchagulia.Ipi? Ya kijimwagia pombe au pafyumu.?