ni kweli kabisa mkuu!!Tabia hiyo mbaya sana ya kuwabebesha mizigo wazazi ili hali walishakulea ukakua sasa unawapelekea tena wajukuu walee!Jee wao watapumzika lini kulea?na wewe na mwenza wako mtalea lini wanenu?TUACHE KUWABEBESHA MIZIGO WAZAZI WETU NI MUDA WAO WA KULA MATUNDA SASA
Ndo maana yake namuhudumia hadi nakondaUwe na mume/mke ukonde basi unalako jambo😀:what:
Na wapo kibaaaaaaoooo humu ndo maana hawachangii na wakichangia wanakausha kama sio wao...mxyuuuuuuu wa miaka 30
Mpaka miaka 32 bado unakaa kwa mama na wewe kweli utajihesabu ni mwanaume?
Heee na huyo mama anayepokea starehe za mwanae ana matatizo pia.....
Yaani namuimagine maza wangu..... loh angenitimuaje
mmmh jamaniiiiiiii