vipi wakuu,heshima
yenu,nisiwachoshe ni ingie kwenye point...kuna mdada nimiaka kama mitatu
tulishawai kuwa wapenzi,tukaa achana kikweli nilikuwa sija tulia ujana
ulikuwa unanisumbua tuka achana,ila mawasiliano yakawa kawaida,nikaenda
zangu mbali sana ila tanzania hii hi,akapata mpenzi Mwingeni japo ki
umri ni mkubwa kwake na ana mpa maisha yote,huyu dada aMekutana na mimi
mwezi ulio pita amedata anakuja kulala geto ananiambia ananipenda kule
alifata hela,amefungua tours anataaka nifanye nae kazi,naskia roho
inauma maana sometime niko nie geto jamaa anapiga simu
anadaganywa,mwanaume wake anajifanya mtemi ashawai wai kunikuta
nasalimiana na huyo mwanamke akanitolea bastola.JE NIMUACHE HUYU
MWANAMKE AU CSE NAMPENDA NA YEYE ANA NIPENDA NA UWAKIKA?