Dah!!tabu

Dah!!tabu

B'REAL

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2010
Posts
4,573
Reaction score
3,255
vipi wakuu,heshima yenu,nisiwachoshe ni ingie kwenye point...kuna mdada nimiaka kama mitatu tulishawai kuwa wapenzi,tukaa achana kikweli nilikuwa sija tulia ujana ulikuwa unanisumbua tuka achana,ila mawasiliano yakawa kawaida,nikaenda zangu mbali sana ila tanzania hii hi,akapata mpenzi Mwingeni japo ki umri ni mkubwa kwake na ana mpa maisha yote,huyu dada aMekutana na mimi mwezi ulio pita amedata anakuja kulala geto ananiambia ananipenda kule alifata hela,amefungua tours anataaka nifanye nae kazi,naskia roho inauma maana sometime niko nie geto jamaa anapiga simu anadaganywa,mwanaume wake anajifanya mtemi ashawai wai kunikuta nasalimiana na huyo mwanamke akanitolea bastola.JE NIMUACHE HUYU MWANAMKE AU CSE NAMPENDA NA YEYE ANA NIPENDA NA UWAKIKA?
 
dah hadi bastola zinaruhusiwa?? kimbia bro upo tayari kufa kwa ajiri ya nyapu?? mbona zipo nyingi kwa dunia hii?? ran man!!
 
Kama jamaa yake ameshakufahamu na amekutishia kwa bastola! mzee kaa pembeni maana lazima atakuua tu,
chezea wivu wa kimapenzi wewe!
 
Jitahidi sana kujiepusha na mapenzi yaliyojawa utata kama hayo...ni hatari!
 
Acha utakufa huyo hakufai ingawa ulimuacha kwa makosa yako. Hakuna kosa utakalofanya kama kurudiana halafu eti ufanye kazi kwenye mali za mwenyewe huku ukitafuna mali za mwenyewe. Kama amedata kweli basi amtangazie talaka huyo jamaa wagawane kila kitu halafu muanze upya ingawa sina hakika kama nawe hatakupiga kibuti mbele ya safari. Akipata mwenye mshiko mkubwa atakudunda buti mwanangu. Kama unauweza utumwa basi endelea ila jamaa anaweza kukutoa roho bure.
vipi wakuu,heshima yenu,nisiwachoshe ni ingie kwenye point...kuna mdada nimiaka kama mitatu tulishawai kuwa wapenzi,tukaa achana kikweli nilikuwa sija tulia ujana ulikuwa unanisumbua tuka achana,ila mawasiliano yakawa kawaida,nikaenda zangu mbali sana ila tanzania hii hi,akapata mpenzi Mwingeni japo ki umri ni mkubwa kwake na ana mpa maisha yote,huyu dada aMekutana na mimi mwezi ulio pita amedata anakuja kulala geto ananiambia ananipenda kule alifata hela,amefungua tours anataaka nifanye nae kazi,naskia roho inauma maana sometime niko nie geto jamaa anapiga simu anadaganywa,mwanaume wake anajifanya mtemi ashawai wai kunikuta nasalimiana na huyo mwanamke akanitolea bastola.JE NIMUACHE HUYU MWANAMKE AU CSE NAMPENDA NA YEYE ANA NIPENDA NA UWAKIKA?
 
Kifo kifo kifo kifo kifo kifo kifo!Kimbia mdogo wangu.Wanawake bado wako wengi sana
 
Mzee chapa lapa..! Acha tamaa..! Endeleeni kua marafiki then kuhusu biznes labda akuajiri na si'kufanya nae! Mia then
 
ndugu yangu usifanye kosa la kukubali jufanya nae kazi kabisa...hapo she will have control ova u....ila bupa endelea kumega mwanawane wala usijivunge....akiileta wdwe isasambue tuu hiyo k yake.
 
mmh! hapa nasubiria kusoma comment ya mzabzab tu
 
Last edited by a moderator:
ndugu yangu usifanye kosa la kukubali jufanya nae kazi kabisa...hapo she will have control ova u....ila bupa endelea kumega mwanawane wala usijivunge....akiileta wdwe isasambue tuu hiyo k yake.
hahahahah! yaani i wish to see yu dah!
 
mmh! hapa nasubiria kusoma comment ya mzabzab tu

hahaha haya naona kila topic ya kugegedana watu wanasubiri post yangu...na mie nasubiria post zako ikija masuala ya kumridhisha demu kataki kugegedana
 
Last edited by a moderator:
usijali kuniona utaniona tuu....ila kama kweli upo poa kama hiyo pic naona mume wako nae ataanza nitolea bastola hahaha

sasa mie natamani sana kuona jinsi ulivyo manake makoment yako mbavu sina.
nitakuja na hubby ili asikushkie bastola
 
hahaha haya naona kila topic ya kugegedana watu wanasubiri post yangu...na mie nasubiria post zako ikija masuala ya kumridhisha demu kataki kugegedana
khaaa! mwanume unapenda kula vipara wewe??
hope huvili kma unavyovipenda lol!
 
sasa mie natamani sana kuona jinsi ulivyo manake makoment yako mbavu sina.
nitakuja na hubby ili asikushkie bastola

mwanamke wa kweli anajiamini...njoo oeke yako bwana au waogopa mzabzab nitakukojolesha lol
 
vipi wakuu,heshima yenu,nisiwachoshe ni ingie kwenye point...kuna mdada nimiaka kama mitatu tulishawai kuwa wapenzi,tukaa achana kikweli nilikuwa sija tulia ujana ulikuwa unanisumbua tuka achana,ila mawasiliano yakawa kawaida,nikaenda zangu mbali sana ila tanzania hii hi,akapata mpenzi Mwingeni japo ki umri ni mkubwa kwake na ana mpa maisha yote,huyu dada aMekutana na mimi mwezi ulio pita amedata anakuja kulala geto ananiambia ananipenda kule alifata hela,amefungua tours anataaka nifa muache
 
Ukisikia paaaa ujue jama kakukosa !

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom