Judgement
JF-Expert Member
- Nov 13, 2011
- 10,327
- 4,780
SL , huo wa wewe na BAGAH naujua na siu'ulizii huo , naulizia wa mimi na wewe !
Last edited by a moderator:
we wakati,is this your first love? Zoea,hao ndo wanawake wa bongo,ukiona hivo jua mwenzio kakuzidi kete.Kwa ushauri zaidi ongea na Smile.
SL , huo wa wewe na BAGAH naujua na siu'ulizii huo , naulizia wa mimi na wewe !
Mimi na wewe tena?????? si mpaka kifo kitutenganishe shemeji!
SL , huo wa wewe na BAGAH naujua na siu'ulizii huo , naulizia wa mimi na wewe !
Am fully enough proud for your acknowledge for!
Unatakaje sasa mbona hueleweki muambie tuu unalotaka sema ustake ntibua sahiii huo ushem kwanin uwe na expirin date?
:biggrin1: JF raha sana..ukiwa unamtamani mke wa mtu unasema na wala hakuna fujo...ingekua tuko mtaani hapa ungekuta watu washashikana mashati
baby charminglady hapa sasa ndo umenifikisha, siwezi kupata kifungua kinywa bila wewe pembeni yangu, nilishe nikulishe tusahau shida za dunia mpenzi
Khaaaaaaaa charminglady so kubembeleza huko,naomba nije kwako unipe lecture ya kumbembeleza my sweet heart wangu maanake kwenye hiyo sekta mi mbovujeee???????nisipokuwa makini muda si muda namwagwa.niokoe mwenzio.
Unatakaje sasa mbona hueleweki muambie tuu unalotaka sema ustake ntibua sahiii huo ushem kwanin uwe na expirin date?
Naomba nikushauri kaka yangu wakati ndio sasa, Huyu charminglady keshanyakuliwa na C6 yaani ni mke wa mtu. Kwa nini unang'ang'ania pasipofaa? Hujui mke wa mtu ni sumu kali? Achana naye, ingia mtaani wamejaa tele!
:biggrin1: JF raha sana..ukiwa unamtamani mke wa mtu unasema na wala hakuna fujo...ingekua tuko mtaani hapa ungekuta watu washashikana mashati
ukitaka ban we poromosha matusi ya ukweli,
jeraaaaaaaa....rraaaaa!