Mr Hero JF-Expert Member Jun 11, 2015 5,540 7,455 Jul 17, 2016 #1 Wote ni umri mmoja ila hali zime tofautiana kwani kuna wanao tafuta Elimu na wanao tafuta maisha, Attachments watoto.jpg 21.9 KB · Views: 28
MKWEPA KODI JF-Expert Member Nov 28, 2015 28,701 71,051 Jul 17, 2016 #2 Kwa hapa Tanzania wanaotafuta maisha ni theruthi tatu ya wanaotafuta elimu
W wa hapahapa JF-Expert Member Aug 22, 2012 7,455 4,395 Jul 17, 2016 #5 ndio hali halisi ya dunia ajira za utotoni bado ni janga. pia umaskini ndio chanzo cha watoto kukosa elimu. uzaz wa mpango utasaidia kupunguza watoto wa mitaani.
ndio hali halisi ya dunia ajira za utotoni bado ni janga. pia umaskini ndio chanzo cha watoto kukosa elimu. uzaz wa mpango utasaidia kupunguza watoto wa mitaani.