Dah !! Hiii kali niloona

HAOMAR

Member
Joined
Nov 30, 2011
Posts
16
Reaction score
0
Tanzania sasa ni miaka 50 ya uhuru tumesha sherehekea na tarehe 12/12/2011 ndio waziri mkuu alitia hitimisho ya maadhimisho ya kusherehekea
ila kuna kit2kimoja nataka niulize ivi hizi sherehe ni za watamzania (watanzania ) au za wana ccm ?
 
Nadhani ni za wana ccm 7bu baada ya wanyonyaji wakoloni kuondoka waliwaachia ccm waendelee kutunyonya kwakushirikiana nao kwahiyo ccm wanasheherekea kwakufaidi rasilimali zetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…