Christinah
Senior Member
- Nov 13, 2014
- 100
- 17
Hivi jamani wadau mnadhan Ni kwanini siku hizi suala la akina Dada kupiga pic za utupu kisha kuziweka mtandaoni linazidi kushamiri kila iitwayo Leo
Maana imekua kama fashion
Maana imekua kama fashion
Ni ujinga, ni ulimbukeni, ni mmomonyoko wa maadili.
Hivi jamani wadau mnadhan Ni kwanini siku hizi suala la akina Dada kupiga pic za utupu kisha kuziweka mtandaoni linazidi kushamiri kila iitwayo Leo
Maana imekua kama fashion
ulimbukeni wa matumizi ya smartphones upo kazini, kazi ikikamilika wataacha tu.
New world order
Si wamependa wenyewe,tatizo liko wapi..?
Yan utadhan hawana wazazi aiseeh
hiyo ishakuwa ngumu kuwacontroled na wazazi coz zile simu wengi wao wanahongwa, na hao wanaowahonga ndio wanaowadanganya wapige zile picha.
Weka picha sasa..!
Hivi biashara ukaifiche uvunguni inaleta sense kweli na waziweke tuuu social networks!
Hivi jamani wadau mnadhan Ni kwanini siku hizi suala la akina Dada kupiga pic za utupu kisha kuziweka mtandaoni linazidi kushamiri kila iitwayo Leo
Maana imekua kama fashion