Dagaa wa Mwanza wanapatika wasafi kabisa

Dagaa wa Mwanza wanapatika wasafi kabisa

Mbadala sahihi

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2016
Posts
280
Reaction score
139
Biashara ya dagaa

Habari njema kwa wakazi wa mikoa ya Nyanda za Juu kusini (yaani kuanzia Iringa, Songea, Mbeya na wengine wa jirani ) tunawakaribisha kuweka order za Dagaa wa Mwanza wasio na Mchanga hata kidogo. Tuna leta mzigo wa kutosha kwa bei za jumla na reja reja. Bei ni Tsh.26000 kwa debe kwa wateja wa jumla.
sado ni Tsh. 7000 kwa wateja wa reja reja.

Nipe order au njoo Inbox
Mawasiliano ni: 0767973701 au 0659787876. Karbuni sana.
Whatsap 0624088286
MSAADA KUSAMBASA KWENYE MAGROUP MENGINE. " Kauli mbiu ni Umoja ni Nguvu Utengano ni uzaifu" NISADIWEE ahsanteni sana

Dar es Salam pia tuna leta
 
Ahsante mi ninao wa Unguja je kuna Soko hukoo?
 
DAGAA BUZNESIII

Habari njema kwa wakazi wa mikoa ya Nyanda za Juu kusini (yaani kuanzia Iringa, Songea, Mbeya na wengine wa jirani ) tunawakaribisha kuweka order za Dagaa wa Mwanza wasio na Mchanga hata kidogo. Tuna leta mzigo wa kutosha kwa bei za jumla na reja reja. Bei ni Tsh.26000 kwa debe kwa wateja wa jumla.
sado ni Tsh. 7000 kwa wateja wa reja reja.

Nipe order au njoo Inbox
Mawasiliano ni: 0767973701 au 0659787876. Karbuni sana.
Whatsap 0624088286
MSAADA KUSAMBASA KWENYE MAGROUP MENGINE. " Kauli mbiu ni Umoja ni Nguvu Utengano ni uzaifu" NISADIWEE ahsanteni sana

Dar es Salam pia tuna leta
wamekaangwa au wakavu
 
Back
Top Bottom