Dagaa wa Bukoba kilo Tsh 5,000

Dagaa wa Bukoba kilo Tsh 5,000

Chief Masta

Member
Joined
Feb 5, 2022
Posts
11
Reaction score
23
Kama unahitaji dagaa wa Bukoba (Safi, Ya Jua Moja bila Mchanga) nicheki, kilo moja kwa tsh 5,000

Napokea oda kuanzia kilo 60 na kuendelea, muda wowote nicheki kwa namba yangu 0624200275
 
Naomba niulize kama hutojali, kuna tofauti gani ya dagaa wa bukoba na wa mwanza?
 
Naomba niulize kama hutojali, kuna tofauti gani ya dagaa wa bukoba na wa mwanza?
Dagaa wa mwanza ni wadogo wadogo na wanaanikwa kwenye mchanga lakini za bukoba ni kubwa (Nene) na zinaanikwa kwenye nyasi hazina mchanga
 
Back
Top Bottom