give people a trust until they give you a reason not to trust you
i will be back............lakini hii imetoka moyoni mwako kabisa?
hehehehe!
private naogopa utanisedyuuz:typing::typing:
kwa wadada waelewa hawawezi kufanya sex kama mhimili wa mapenzi/mapendo, kuna vitu vingi sana zaidi ya sex pamoja na hayo na sex pia ina nafac yake, kama mie kuanzia naanza urafiki na mr nilikuwa free kwake, mambo ya kumwambia leo nina hamu na sex ilikuwa jambo la kawaida kabisa na yeye alikuwa analitatua haraka inavyopaswa then tunaendelea na majadilino mengine ya kimaisha, cjui nipo nje ya mstari au laa, cjui nimeeleweka...khaaa
Dogo leo hujaamka na hang'over sijui? This is a very useful post for today, anayekataa ni mchawi tu!
kwa wadada waelewa hawawezi kufanya sex kama mhimili wa mapenzi/mapendo, kuna vitu vingi sana zaidi ya sex pamoja na hayo na sex pia ina nafac yake, kama mie kuanzia naanza urafiki na mr nilikuwa free kwake, mambo ya kumwambia leo nina hamu na sex ilikuwa jambo la kawaida kabisa na yeye alikuwa analitatua haraka inavyopaswa then tunaendelea na majadilino mengine ya kimaisha, cjui nipo nje ya mstari au laa, cjui nimeeleweka...khaaa
unajua kuna mdada mmoja(MUNGU ANISAMEHE KWA KUONGEA UKWELI)...!yupo mwaka wa pili sasa hapo kwa mkandara....!ameumizwa sana tena sana!kila boifrendi alikuwa anampa mashine jamaa anapiga na mungu amemtunuku kizazi kizuri ALIKUWA HODARI WA KUSHIKA MIMBA!kila jamaa aliyeharibu alikuwa anakimbia!mwana dada akawa anatoa mimba tu!....
baada ya watu kama watano hivi kufanya the same thing dada wa watu AMECHOKA MBAYA!dah!na ameamua azae tu sasa!ni mdada mzuri sana na upstairs yuko biyee maanake alinipigia wani ya nne A-LEVEL ya EGM..!lakini ndo hivo amerisk sana kumtafuta mista right mwisho wa siku SHE BECAME A LOOSER!
TAFADHALINI SANA WANADAFADA ZANGU!muangalie mnavyofanya haya mambo