jamadari
JF-Expert Member
- Feb 13, 2010
- 295
- 92
Wewe inakuuma nini hii picha? kwanini unaitizama basi?Mod funga hii haina tija wala mantiki
Wewe inakuuma nini hii picha? kwanini unaitizama basi?Mod funga hii haina tija wala mantiki
mbona sijaona cha ajabu hapa?? majungu tu
tabia mbaya wewe utakuwa unatabia ya kupiga chabo watu wewe ,tabia yako inaonekana hata ulipopost hii thread,umekaa pembeni ukampiga picha dada wa watu.mbona ka kaa vizuri tu kwa raha zake me sioni shida hapo.
Vuta hisia unaingia chini ya uvungu!
Ana mvuto, sijui sura ikoje...
<br />Sipandi tena dala dala msije mkanifotoa.
<br /><br /><br />
<br /<br />
yaan kama mim huwa nakumendea kwel, naweza kukamatwa kama yule mshikaj aliyekuwa akimmendea serena williams(mcheza tennis)
we ungelikubali kupigwa pic ukiwa hivo ili iwejeeumepiga pic bila idhini yake ni udhalilishaji huu!