Dada zetu kwenye daladala

..wanawake ni maua ya duniani,wache wapambe na sie tusherehekee!ongeza picha zingine
 
Yuko vizuri kweli hapo sehemu anapoonekana;hebu nipe contacts zake ili nimuulize maswali.Nikiona inafaa ninaipitisha.
 
Mbona sioni kama kuna tatizo katika ukaaji wake na ata uvaaji wake!!!!!! Ni hisia mbaya tu!!!!!!!!!!!!! Utakamatwa siku moja kupiga picha watu bila idhini yao,ni kosa kisheria.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom