Dada zetu jeshini Khaaa..

hawa ni viburudisho vya maafande kule jeshini so hawapati mikiki mikiki sana ndo maana muda wote wako mguu pande mguu rejeshaa.
 
huyu akinikimbiza hanipati hata kama nitakuwa sijawahi kufanya mazoezi toka nizaliwe, labda ni viburudisho kama kigogo alivyodai
 
huyu akinikimbiza hanipati hata kama nitakuwa sijawahi kufanya mazoezi toka nizaliwe, labda ni viburudisho kama kigogo alivyodai

Sijui vigezo vinavyotumika kuwaajiri hawa watu ni nini? hapa hata "Udada/ukaka mavu" umepotea kabisa!!.
Ni gharama kubwa kuwamudu kwa aina hii ya miili wanayojiachia kwa mavips...hawavaliani masuluali hawa!
 
Acheni mfume dume jamani, mbona hata wanaume maafande wanene na vitambi sasa hao wadada wanakosa gani, fanya fujo uone kasi yake, ha ha ha!
 
LOL,Akikukaba kabali huyo hutoki,waache walete mazereu lol
hehehe mdada kama huo ole wako ufike kileleni wewe kabla yeye! khaa kwa hali hii! hakyanani sitongozi jeshi bora nipige puli kama nitakosa kaschana ka kawaida.
 
hhahahhaha!!! hapa unawanyanyapaa dada zetu aisee
kamanda hao inabidi waolewe na majeshi wenzao tu, wee unazani mdada mjeshi kama huo kuna dalili ya kulegezwa na raia? hapo utazama chumvini mpaka domo litavimba lakini mdada unakutumbulia mimacho tu haulegei kabisa yaani halaf unakulamba vibao kuonesha msisitizo, au katikati ya mchezo unaweza ukauona mdada unaimba wimbo wa taifa, hainogi yaani.
 
hahahahahahaha! Unamsingizia, daaaah, cpat picha wimbo wa taifa kati kati ya shughuli!...lol
 
Aisee hii picha yako imefika huku lini lol
si ndo hata mimi nimeshangaa, kuna jamaa alikuwa anatafuta mchumba, si nkatuma aplication? Nkaambatanisha na hiyo picha, sasa nashangaa leo naiona JF!
 
Msilete utani hao watun wako fit sana balaa,,,yaani usimuone hapo na tumbo anachange step kwa haraka na wako fit sana..wameiva mana ukikesha zile six week uraia unakutoka kabisa kwa hiyo hata ukimuona hapo amenenepa akifanya kitu kinaitwa refresher course mara moja anarudi kuwa ngangari kinoma....

Ila kiukweli akina dada warembo majeshini wanatumika sana..
 
Kwani kuwa polisi ni kubeba mawe.

Hapa Bongo wanawake wote lazima watapa miili kama hii kama hawabadili lishe zao hata kama wakifanya zoezi hawatapungua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…