Rose1980
JF-Expert Member
- May 10, 2010
- 5,684
- 1,302
madada, mmezidi..yaani mpaka naogopa sasa kutongoza maana hakuna hapana..ukichat nae anakupa namba ya simu..mara ukimpigia oohh hatukaribishani..akija geto anamtundika..mara nitumie hela na tigo pesa..ili mradi kero tu..watu kugeuzana ATM hapa mjini mradi matatizo tu..ukienda mahala regularly wanaanza mazoea..yanai mpaka wanagombania kukuhudumia..unaanza kuwachapa weee hadi inanipa wasiwasi..ukimwambia mambo poa, nipe simu yako poa..njoo mahali flani..nakuja...DUUUHH..natamani kupigwa kibuti mwaka huu..
we ujaona pia una makosa km yao?
that we pia ni kicheche km wao so mmekutana muuza na mnunuaji?
sa iweje umnyoshee kidole mwanamke peke yake?
au kwako poa..imeandikwa MWANAUME ANARUHUSIWA KUWA KM MBWA?POPOTE ANAKOJOA?
MJIPANGE ...reptilia nyieeeeeeee