Shabhan
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 236
- 102
- Thread starter
- #21
nina mabinti watatu, wa mwisho ni twins wapo 4 years! ni warembo kwelikweli! ukisema hivyo mkuu unanipa sana msongo wa mawazo! natamani wote niwaone wanakuwa watu baadaye! bila kupatwa na luluvirus wala kusababishia watu mtikisiko wa ubongo! LORD HAVE MERCY, AND ALWAYS PROTECT MY DAUGHTERS! AMEN!
kamanda mie nimepona hicho kisu, mitoto yangu yote dume.
Ni kuwajengea mazingira ya uwazi wa kuongea lolote na wazazi
mara moja moja unakaa na kuwapa real life experiences kwa simulizi.