Dada yotote jf aje kunipa campan usik wa leo

Dada yotote jf aje kunipa campan usik wa leo

Cash Generating Unit

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2019
Posts
13,284
Reaction score
39,491
Dada zangu mambo??
Leo nipo idle tu sina campan hapa afu nataman sana niwe na mrembo wa kupiga nae story hapa kwangu, sasa daah yoyote atakae fill kuja tupige story mpaka mida flan ya mishale fresh utasepa,uber ya Go & Return nitakupa hata usijali. Karibun sana msiogope

NB: uwe unatumia pombe sitaki mambo ya mirinda nyeusi, chochote utakachotaka nitakupa na 100k
 
Out of Topic.....:

Mara nyingi malezi yameniepusha na mialiko ya hivi japo huwa nakutana sana na strangers eneo la wazi na si nyumbani.

Ni vile tuu umri umeenda ila enzi zangu mtoa mada ningemshaeishi tukutane roof hotel, aidha kwa gharama zangu, zake au kila mmoja alipe zake.

Nyumba ya mtu ntaingia nikishamshiba sana, yaani zaidi ya kumfahamu hadi shughuli zake za kumfanya amudu gharama za maisha, marafiki n.k.
Same way mtu akija kwangu, nimemheshimu na kujihakikisha hakuna mbaya hata ikitokea ikasababishika haidhuru mawasiliano.

Back to the topic, useme uko nchi gani, eneo na kitongoji ili warembo wajipange uber isiwe ndefu.

Kasinde.
 
Out of Topic.....:

Mara nyingi malezi yameniepusha na mialiko ya hivi japo huwa nakutana sana na strangers eneo la wazi na si nyumbani.

Ni vile tuu umri umeenda ila enzi zangu mtoa mada ningemshaeishi tukutane roof hotel, aidha kwa gharama zangu, zake au kila mmoja alipe zake.

Nyumba ya mtu ntaingia nikishamshiba sana, yaani zaidi ya kumfahamu hadi shughuli zake za kumfanya amudu gharama za maisha, marafiki n.k.
Same way mtu akija kwangu, nimemheshimu na kujihakikisha hakuna mbaya hata ikitokea ikasababishika haidhuru mawasiliano.

Back to the topic, useme uko nchi gani, eneo na kitongoji ili warembo wajipange uber isiwe ndefu.

Kasinde.
Uko sahihi sana Madam, sio kila mtu anakaribishwa nyumbani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom