Super Sub Steve
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 17,284
- 10,665
Mimi ni mwanaume nina miaka 30 napenda kuwa na rafiki yeyote aliye DAR ES SALAAM,dini yeyote,rangi yeyote,umri wowote,ila awe mwenye busara staki matusi pia awe ana uelewa na maisha asiye na majigambo!