Dada yangu simuelewi

Hili jamaa limeandika nini aise? ila JF sijui tunaenda wapi
 
Nimekuelewa ingawa kwa shida sana.

Ila sina cha kukushauri.
 
Umenikumbusha demu wangu mmoja alikuwa kilaza, nilikuwa nampiga sound za ajabu halafu anaamini. Siku ya mwisho/kiama wakireplay na kunisikilizisha zile sound zangu ntaona aibu sana.
 
Mbona hueleweki kwanza we ni me au ke kaa kwa upole uandike upia
 
Ndio maana kaamua kuja na ujio mpya wa kuongea kinge tu woiiiii nilikuwa sijammanya
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sijambamba na kinge, ndo huyo kabisaa
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sijambamba na kinge, ndo huyo kabisaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Haongei kiswahili hata yeye ni kinge mwanzo mwisho nikajisemea ujio mpya huu ni shida
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…