Dada yangu anatafuta Kazi

Kwan
Mimi nna shida na kijana wa kiume awe na 18-20 kazi kubwa ni kubaki na nyumba usafi/kupika chakula hususan cha kwake mambo yote kwangu mshahara ni 50,000/= naitaji zaidi wa kutoka Iringa na mbeya,kusini siwaitaji.
Kwann wakusini huwataki mkuu, wananini
 
Nilidhani yupo Dar tungewasiliana,kumbe yupo Moshi
 
Wahuni watapita na huyo mchaga safii salama yani
 
Yaan mtu anatafuta kaz halafu umri wake hutak kuu disclose
 
Mimi nna shida na kijana wa kiume awe na 18-20 kazi kubwa ni kubaki na nyumba usafi/kupika chakula hususan cha kwake mambo yote kwangu mshahara ni 50,000/= naitaji zaidi wa kutoka Iringa na mbeya,kusini siwaitaji.
Jinsia yako ipi
 
Mimi nna shida na kijana wa kiume awe na 18-20 kazi kubwa ni kubaki na nyumba usafi/kupika chakula hususan cha kwake mambo yote kwangu mshahara ni 50,000/= naitaji zaidi wa kutoka Iringa na mbeya,kusini siwaitaji.
Iringa na Mbeya zipo kaskazini mkuu?
 
Huu mtego huu...we piga hiyo namba then baada ya muda angalia nyuma utaona "Nissan nyeupe" ina kuja polepole
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…