goroko77
JF-Expert Member
- Jul 9, 2019
- 8,855
- 12,984
Jana jamaa ambae ni rafiki angu aliniombaa kwenda kwake kumpoozesha shemij yaani mkee wake ili asije kuondoka na hii ni baada ya mkee wake kumkuta anamgegenda beki tatu tena kitandani kwake live bila chengaa mke ni mjamzito anafikiriaa kuondokaa nimejaribu kumzui imeshindikana. . na anataka tu kusepa ampishe jamaa na huyo beki tatu
Ananiomba nimsii mkee wake ila namim nimeshindwaa nikaona niwasilishe kwa wanabodi mtoe mbinu kwa wale waliokwisha fumaniwa na mabeki tatu mlifanyaje dhoruba hyo ikatuliaaa
Ananiomba nimsii mkee wake ila namim nimeshindwaa nikaona niwasilishe kwa wanabodi mtoe mbinu kwa wale waliokwisha fumaniwa na mabeki tatu mlifanyaje dhoruba hyo ikatuliaaa