Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,015
- 95,371
Huyu nayelala naye uchi kitandani alishaachaga uhusiano na hawa viumbe...Nina shida ya dada wa kazi, mbona vigezo ni vya kawaida sana Asprin, hebu visome tena naamini hata wewe unataka upate msaidizi mwenye sifa hizo. Wasumbufu sana, ukimbeba habebeki
Hivi sasa tunaishi na mama mjane (watoto wanamwita bibi) kwa raha zetu. hasumbui mama wa watu, yani kiroho safi tushamfungulia na genge lake ajiongezee kipato...
Sasa sijui kumleta huyu bibi ilikuwa janja yake... maana haniaminiamini vibinti vikipita mbele yangu...