Dada wa Kazi anahitajika

Nina shida ya dada wa kazi, mbona vigezo ni vya kawaida sana Asprin, hebu visome tena naamini hata wewe unataka upate msaidizi mwenye sifa hizo. Wasumbufu sana, ukimbeba habebeki
Huyu nayelala naye uchi kitandani alishaachaga uhusiano na hawa viumbe...

Hivi sasa tunaishi na mama mjane (watoto wanamwita bibi) kwa raha zetu. hasumbui mama wa watu, yani kiroho safi tushamfungulia na genge lake ajiongezee kipato...

Sasa sijui kumleta huyu bibi ilikuwa janja yake... maana haniaminiamini vibinti vikipita mbele yangu...
 
Huyu nayelala naye uchi kitandani alishaachaga uhusiano na hawa viumbe...

Hivi sasa tunaishi na mama mjane (watoto wanamwita bibi) kwa raha zetu. hasumbui mama wa watu, yani kiroho safi tushamfungulia na genge lake ajiongezee kipato...

Sasa sijui kumleta huyu bibi ilikuwa janja yake... maana haniaminiamini vibinti vikipita mbele yangu...

Watu wazima ni wazuri hasa ukiwa na watoto wakulelewa, ila sasa mie naona aibu kuwa na mama mtu mzima halafu naanza kumtuma: mfano nenda kaninunulie henken pale supermarket hahahahhahahahahah
 
Watu wazima ni wazuri hasa ukiwa na watoto wakulelewa, ila sasa mie naona aibu kuwa na mama mtu mzima halafu naanza kumtuma: mfano nenda kaninunulie henken pale supermarket hahahahhahahahahah
Macho yangu bhana... yani yanasoma vitu vyekundu tu...

Ila ahsante kwa taarifa, kumbe we bado bikra, huna mtoto.

Ntalifanyia kazi hili jambo muhimu kwa maendeleo ya taifa... Ufyatuaji.
 
Macho yangu bhana... yani yanasoma vitu vyekundu tu...

Ila ahsante kwa taarifa, kumbe we bado bikra, huna mtoto.

Ntalifanyia kazi hili jambo muhimu kwa maendeleo ya taifa... Ufyatuaji.
hahahahahahahahahahahahahahahahahahah
 
Mm wamepita wengi hata idadi sina. Mmoja alikuja usiku saa tano, basi lilipata shida njiani, asubuhi kaamka na kirambo mkononi na sh.2000 iliyobaki kwenye pesa ya chakula tuliyomtumia anasema anataka kurudi kwao. Mr. alitaka kumpiga mabao maana yeye ndio aliyemsubiria usiku kuleTemeke. wanakera kwa kweli.
 
Mm wamepita wengi hata idadi sina. Mmoja alikuja usiku saa tano, basi lilipata shida njiani, asubuhi kaamka na kirambo mkononi na sh.2000 iliyobaki kwenye pesa ya chakula tuliyomtumia anasema anataka kurudi kwao. Mr. alitaka kumpiga mabao maana yeye ndio aliyemsubiria usiku kuleTemeke. wanakera kwa kweli.

Angemuonja hata kibao kimoja maana wanakera sana. haahahahahahah
 
Ninahitaji dada wa kunifanyia kazi za ndani. Ninaishi Mwanza Wilaya ya Ilemela kata ya Buswelu. Mshahara utakuwa Tshs50,000/ kwa mwezi. Aanatakiwa awe na sifa zifuatazo:

1. Ajue kusoma na kuandika pia matumizi ya simu yale ya msingi eg. kupiga, kupokea na kutumia short message services
2. Awe anajua kupika vyakula vya kawaida tu vya kibantu mfano ugali, wali
3. Awe mkristo mwenye imani ya kiasi, naamanisha asiwe wale wakushinda kanisani au wakuamka usiku na kuanza kuomba kwa sauti kubwa hali ambayo itawanyima watu wengine usingizi
4. Asiwe na mapepo
5. Awe anakula vyakula vyote, asiwe ana bagua mfano hali nyama, maharage au mchicha
6. Asiwe mzururaji kwenye nyumba za watu kupiga soga
7. Awe tayari kufundisha/kufundishwa kwa kuwa hakuna anayejua kila kitu na hakuna ambaye hajui kitu.
8.Awe na "wito" wa usafi.
9. Awe mkarimu wa kiasi, asiwe mtu wa kugawa vitu kwa majirani nikiwa sipo.

MARUPURUPU:
1. Nitamnunulia vipodozi vya kawaida
2. Nitampa pads free kila mwezi
3. Nitamnunulia nguo but mitumba

NB: Sitamchangia kwenye mifuko ya hifadhi za kijamii eg. NSSF

Mawasiliano: 0629 533 764
Double! Njoo uwe beki taraa nikulipe one kilo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom