By hair
Senior Member
- Sep 6, 2013
- 141
- 37
Ilikuwa hivi Jamaa kakaa na dada mkali siti mmoja,sasa si akaanza kumwimbisha kwa Sauti ya chini,demu kimya akawa hajibu,Jamaa kakomaa,dada si akamtolea uvivu kwa Sauti kubwa naomba unikome!jamaa nae pale pale kwa Sauti kubwa akampa we vipi unajamba afu nisikwambie, watu hahahahaha