Ibrahim K. Chiki
JF-Expert Member
- Apr 5, 2011
- 594
- 163
Wadau, mi ni mass communicator na public relation officer ambaye nimegraduate 2010 na nimeshatuma maombi ya kazi sehem kibao but sijawahi iitwa kwenye interview wala kupata feedback yoyote, ingawa kwa sasa am working as sales executive wa kampuni flani na kulipwa kwa commission.....kazi ambayo nimeipata kupitia kumjua mtu anaye mjua mtu. Naombeni msaaaada wadau....tena wa dhati.