Daaah,Kidani sehemu za siri?

Daaah,Kidani sehemu za siri?

Tunaomba serikali itusaidie kwenye hili
 
hizo mkuu zinaitwa Lebasi za ulimbwende popote ruksa!
 
acha hizo bana, chukuchuku inachosha pilipili na ndimu kidogo ndo mpango....
Hizo aniwekee kwenye chakula wakati tunafundishwa sikuambiwa zinawekwa chini!
ukiamua kunywa konyagi usichanganye na kitu ili u-feel the whole test of it! Vile vile safari lager inywe bila glass, so is the papuchi!
 
Pamoja na kuwa nimezoea kuona masikio, puani, au juu ya jicho na kitovuni lakini nikikiona kwenye ulimi huwa sishangai sana. Ila hi ya kuweka sehemu za siri kabisa kwenye utamu huwa inanishangaza sana.Kama ni urembo basi hii ni too much.

Nimefika mbali kimawazo stail inayotumika kuwekewa kipini na muwekaji cjui zoez lake huwa linaishaje mh ni htr
 
We washangaa kidani karibu huku zenji maku yafungwa nyororo/shanga ikizungushwa tratiib kwa nyonga huku nyonyo zikiwa na vipini,sikion hereni puani,ulimini,mdomo wa chini kwa mbele vipini,mguuni vikuku,vyote ivo kilo kadhaa,mwanamke pambo bhana
 
Back
Top Bottom