Vitu hivyo sinaUza asset Kama Shamba, Kiwanja, gari, etc

Ni kilimo cha mboga mboga pamoja na matunda.Mkuu ongezea nyama kidogo.
Kilimo cha zao gani unachokimaanisha na utoe mchanganuo wake kuanzia kuandaa shamba na hatua zote mpaka kuvuna mazao.
Tanzania itajengwa na watanzania wenyewe.
Million tano ukiipata ndani ya miezi minne sio ya fasta hiyo?Ye anataka hela ya fasta.