Daaa milioni tano ghafla zitakujaje?

Daaa milioni tano ghafla zitakujaje?

Nguva Jike

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2018
Posts
1,267
Reaction score
1,819
Habari wadau!

Ukiondoa wizi na kukopa ni jambo gani ambalo ukilifanya unapata M5 fasta nimekabwa na shida sijapata kuona mawazo yenu ndugu zangu
 
Kuwa pusti tu mipigo miwili tayari na prado juu....hamjifuzi kwa omary vishimo tu
 
Hizo M5 zenyewe ulishawahi kuzikamata Cash or ndio unataka kuzikamata sasa?




















Mungu Ibariki Tanzania
Mungu Ibariki Chakwale
Mungu Ibariki Gairo
 
Habari wadau!

Ukiondoa wizi na kukopa ni jambo gani ambalo ukilifanya unapata M5 fasta nimekabwa na shida sijapata kuona mawazo yenu ndugu zangu
Uza asset Kama Shamba, Kiwanja, gari, etc
 
Mkuu ongezea nyama kidogo.
Kilimo cha zao gani unachokimaanisha na utoe mchanganuo wake kuanzia kuandaa shamba na hatua zote mpaka kuvuna mazao.
Tanzania itajengwa na watanzania wenyewe.
Miezi miwili - mitatu tu sijasema alime mahindi au ngano
 
Back
Top Bottom