Nguvu ya mtandao Chief, wakidandiwa ndiyo Mama zao wanaanza kulia unajua mwanangu namtegemea, alikuwa hajui anachofanya. Waache waendelee kufuata mkumbo na kujipa uhodari wasiokuwa nao.Hii sio sawa. Punguza ukali wa Maneno bosi. Yule ni Bibi, Mama na mke wa mtu.
Nchi vitengo vyote wamejaa chawa, hakuna kijengo chochote cha kijasusi ambacho ni credible na reliable TZ kwa sasa.Hapa ndio umuhimu wa kuwa na majasusi. Kitendo cha kukosa majasusi nchi itakiwa kama kariakoo
Enzi za Mchonga ndipo walipikwa na vetting ilikuwa ya uhakika, hata baada ya kustaafu hakukubali kabisa kitengo kinajisiwe plus behind the curtains alikuwa bado anahakikisha kinafuata njia sahihi.Majasusi wazuri walikuwapo, even kipind cha jk, after that akaja jpm uvccm wengi wakaingizwa kwenye taasis, now taasis inagugumia
Katiba mpya wa state kabisa that politician yoyote hatoweza kuvuruga au kupenyeza interest zake kwa taasis za ulinzi na usalama
Huko ofisini ulimshauri kuwa Kuna wanawake wenzake wataumizwa kulingana na mauaji aliyoyafanya?.Hii sio sawa. Punguza ukali wa Maneno bosi. Yule ni Bibi, Mama na mke wa mtu.
Waache,ndipo walipofikiaHii sio sawa. Punguza ukali wa Maneno bosi. Yule ni Bibi, Mama na mke wa mtu.
BizimunguHivi nini kimefanya Biteko asiwe PM? Au ni kule kuhusishwa na akina Haruna Niyonzima na Jean Baptiste Bigirimana?
Apunguze kwanza kutuma watu kulawiti wale wanaowateka, naamini ulisikia activists wa Kenya na Uganda walichofanywa na Mafwele pamoja na timu yake.Hii sio sawa. Punguza ukali wa Maneno bosi. Yule ni Bibi, Mama na mke wa mtu.
Ndio maana sijakoment kichawachawaHii thread ya kizalendo..haihitaji uchawa
How mkuu?Aisee hali ni tete sana ,furaha yangu nikwamba this time tunakwenda kuyashuhudia machozi ya CCM,hilo ndilo kubwa watake wasitake nizamu yao
Watu wamejiandaa vyakutosha sana .How mkuu?