mager6
Senior Member
- Jul 5, 2025
- 149
- 226
Habari Kila kona. D9 una division Four points 28 inaturudisha kule kule Mo9. Nii ni mbaya na ngumu kumeza
Pamoja na msamaha wa jana naona ni mwendo wa D9. Hapa nahisi Namba moja wa Kule Kwa warembo anatumia mwanya wa hili janga. Ninavyomjua yule mtu mrefu hataacha yapite bila kujichukulia point.
Aidha jeshini, Gen Z au hata polisi. Hataacha nawaambia. Chukueni tafadhari. Kwetu kama SMG ipo Arusha risasi ziko mtwara basi tuweni makini sana
Pamoja na msamaha wa jana naona ni mwendo wa D9. Hapa nahisi Namba moja wa Kule Kwa warembo anatumia mwanya wa hili janga. Ninavyomjua yule mtu mrefu hataacha yapite bila kujichukulia point.
Aidha jeshini, Gen Z au hata polisi. Hataacha nawaambia. Chukueni tafadhari. Kwetu kama SMG ipo Arusha risasi ziko mtwara basi tuweni makini sana