Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,786
Haya semeni sasa au kwa kuwa ni Muzungu mtatetea? Raisi wa USA amemteua Jerome Powell kuwa Mkuu wa fed mtarajiwa, fed ndiyo kama Benki Kuu yetu na Powell siyo Mchumi bali ni Mwanasheria kitaaluma!
Hapa Bongo zilipigwa kelele na chadema pale Raisi Magufuli alipomteua Mwanasheria kuwa Gavana wa BK eti siyo Mchumi hivyo hata mudu, mnasemaje sasa kuhusu fed kuongozwa na Mwanasheria?
Hapa Bongo zilipigwa kelele na chadema pale Raisi Magufuli alipomteua Mwanasheria kuwa Gavana wa BK eti siyo Mchumi hivyo hata mudu, mnasemaje sasa kuhusu fed kuongozwa na Mwanasheria?