D.O.T Internship

D.O.T Internship

mbona una hasira nao hvyo jaman bado kuwa mpole wakiita utajua siku hyohyo naona una uhakika sana na application yako
 
Wameshaita siku nyingi watu wameanza mzigo since last two weeks
 
Wameshaita siku nyingi watu wameanza mzigo since last two weeks

hicho kichina sasa toka hyo deadline hata week mbili hazijafika sasa hizo last two weeks zimefika vp na kingine walisema kazi ni from April
 
Mbona huwa hamleti tangazo humu wanapotangaza kuwa wanahitajika watu?
Kwenye kuuliza kama watu wameitwa mnakuwa wepesii.
 
Mbona huwa hamleti tangazo humu wanapotangaza kuwa wanahitajika watu?
Kwenye kuuliza kama watu wameitwa mnakuwa wepesii.

watu wanaleta/tunaleta yabidi uwe regular user maswala ya kuingia usiku na kuchek post zinazovutia utaendelea kukosa post za maana na kingine uwe unachek kwny mitandao mengine Jr sio pakutafutia kazi hapa umbea tu kazi ziko ----------- na kwingine
 
watu wanaleta/tunaleta yabidi uwe regular user maswala ya kuingia usiku na kuchek post zinazovutia utaendelea kukosa post za maana na kingine uwe unachek kwny mitandao mengine Jr sio pakutafutia kazi hapa umbea tu kazi ziko ----------- na kwingine
Join Date : 3rd March 2013
Posts : 72
Rep Power : 318
Likes Received5
Likes Given0
 
duh kuwen na subira jamani wataita tu afu kazi zitaanza mwezi wa sita coz hiyo NGO ipo opposite na hapa ninapoishi
 
Jaman bado hawajaita,anayejua

Thank you Enny Mchuz for your interest in working with DOT Tanzania.

Shortlisting of candidates was a difficult task as we were looking for 75 potential applicants worth an interview from about 1000 applicants. That needed some time, for sure.

Before the end of today, we will be posting the list of shortlisted interns in this forum and call them for a next step.

I advise you guys to keep following my posting in this particular forum.

Thank you!!!

Alexander!!
 
hicho kichina sasa toka hyo deadline hata week mbili hazijafika sasa hizo last two weeks zimefika vp na kingine walisema kazi ni from April
Kwani kuku87 c ulipataga signature holidays?
 
Kwani kuku87 c ulipataga signature holidays?

Haaaaa wala usinikumbushe hao washenzi nilipita interview bt kwenye training nikajitoa mshahara laki 5 hapo bado kodi, kutoka kazini kuanzia saa4 usiku si matatzo hayo
 
Thank you Enny Mchuz for your interest in working with DOT Tanzania.

Shortlisting of candidates was a difficult task as we were looking for 75 potential applicants worth an interview from about 1000 applicants. That needed some time, for sure.

Before the end of today, we will be posting the list of shortlisted interns in this forum and call them for a next step.

I advise you guys to keep following my posting in this particular forum.

Thank you!!!

Alexander!!

Thanx, we are following sir
 
Fellas, NIliwaahidi ningerudi na habari njema...

Pekua document hii nimeatach kama uliapply....
 

Attachments

Similar Discussions

Back
Top Bottom