Cyril Chami aumbuka Mkutanoni

Cyril Chami aumbuka Mkutanoni

kitongoroso

Member
Joined
Nov 3, 2013
Posts
29
Reaction score
4
Mbunge wa moshi vijijini juzi aliumbuka kwenye mkutano aliowakutanisha makada mbalimbali wa chama cha mapinduzi kutoka kwenye matawi ya ccm ndani ya jimbo la moshi vijijini. Mkutano huo uliofanyikia YMCA mbunge chami alipandwa na gadhabu kali sana kiasi cha kushindwa kuendelea kuongea baada ya mjumbe mmoja kumtaka mbunge huyo kuwaelezea wajumbe wa mkutano huo kwa nn alifukuzwa kwenye nafasi yake ya uwaziri.

Baada ya swali hilo mbunge huyo alianza kufoka kwa kumtuhumu mjumbe huyo alaiyejulikana kwa jina moja tu la massawe kuwa ametumwa kuharibu mkutano huo. Wajumbe toka ndani ya mkutano huo walisema kuwa mbunge chami amekuwa hapati usingizi kwani anajua nafasi yake ya ubunge jimboni kwake hataipata tena kwani wakazi wengi wa jimbo hili wamechoshwa na utendaji wake mbovu. Kwa kujua kuwa hatarudi tena madarakani amekuwa akihaha kila siku kuitisha mikutano na viongozi wa matawi na kuwahonga fedha nyingi sana ili siku ya kura za maoni wampitishe.

Mjumbe mmoja alisema kama chama cha mapinduzi kitafanya kosa kumrudisha tena kugombea basi wasahau kushinda jimbo hilo kwani litakwenda upinzani na rekodi zinaonyesha kuwa jimbo hilo huwa halitabiriki na upinzani watatumia udhaifu huo wa ccm kushinda jimbo hilo.
 
Ni kweli jimbo hili huwa halitabiriki!

Na chami naskia kashfa zake tu, kuna biashara na majengo hapo moshi wanasema ni ya kwake!

Ni ya kushangaza given his short time on ministerial position!
 
Mbunge wa moshi mjini juzi aliumbuka kwenye mkutano aliowakutanisha makada mbalimbali wa chama cha mapinduzi kutoka kwenye matawi ya ccm ndani ya jimbo la moshi vijijini. Mkutano huo uliofanyikia YMCA mbunge chami alipandwa na gadhabu kali sana kiasi cha kushindwa kuendelea kuongea baada ya mjumbe mmoja kumtaka mbunge huyo kuwaelezea wajumbe wa mkutano huo kwa nn alifukuzwa kwenye nafasi yake ya uwaziri.

Baada ya swali hilo mbunge huyo alianza kufoka kwa kumtuhumu mjumbe huyo alaiyejulikana kwa jina moja tu la massawe kuwa ametumwa kuharibu mkutano huo. Wajumbe toka ndani ya mkutano huo walisema kuwa mbunge chami amekuwa hapati usingizi kwani anajua nafasi yake ya ubunge jimboni kwake hataipata tena kwani wakazi wengi wa jimbo hili wamechoshwa na utendaji wake mbovu. Kwa kujua kuwa hatarudi tena madarakani amekuwa akihaha kila siku kuitisha mikutano na viongozi wa matawi na kuwahonga fedha nyingi sana ili siku ya kura za maoni wampitishe.

Mjumbe mmoja alisema kama chama cha mapinduzi kitafanya kosa kumrudisha tena kugombea basi wasahau kushinda jimbo hilo kwani litakwenda upinzani na rekodi zinaonyesha kuwa jimbo hilo huwa halitabiriki na upinzani watatumia udhaifu huo wa ccm kushinda jimbo hilo.

Hivi mbunge wa moshi mjini chami au ndesamburo? Jipange katika uandishi inshort chami kapoteza mvuto,ana kazi ya ziada kama ana nia ya kugombania tena ubunge
 
Hivi mbunge wa moshi mjini chami au ndesamburo? Jipange katika uandishi inshort chami kapoteza mvuto,ana kazi ya ziada kama ana nia ya kugombania tena ubunge


Mbunge huyu mm namshangaa sana aisee barabara ya manushi ameiweka lami mpaka nyumbani kwake . Wafadhili waliotoa mchango walidhani ni shule na hospital kumbe ni nyumbani kwake.

Ni mbunge wa Moshi Vijijini
 
Ni kweli jimbo hili huwa halitabiriki!

Na chami naskia kashfa zake tu, kuna biashara na majengo hapo moshi wanasema ni ya kwake!

Ni ya kushangaza given his short time on ministerial position!

mkuu ingekuwa vema zaidi ukatuambia baadhi ya hayo majengo anayomiliki ili tuweze kuambatanisha habari hi inavyostahili.
 
Kwani Chami amepona tatizo la kiafya Linalomkabili?
 
Sasa kwa hadhi na ufanisi wa CCM hapo kuna kosa, kupeleka lami nyumbani??? watu wamepeleka EPA itakuwa lami?
 
Hivi huyo aliyemuuliza sababu za yeye kuondolewa kwenye uwaziri ina maana alikuwa hajui sababu au alikuwa anamjaribu?
 
Miaka kumi inamtosha sana watu wa moshi vijijini ni ngumu kuwaongoza miaka 15 apumzike tu na pia wanataka mtu anayeweza kuwa waziri huyu kashakosa sifa hakuna tena mchaga ambaye ni waziri
 
Back
Top Bottom