Wyatt Mathewson
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 10,205
- 24,718
JE, KINACHOMLINDA MUSIBA CHAJULIKANA?
JADILI!
Sasa hivi anatamani awe hajawahi ongea hayo mamboUnapata wapi nguvu ya kuutangazia umma wa Watanzania kwamba hawa ndugu zetu ni hatari??? Mamlaka unayatoa wapi Musiba???
Maana ya mtu hatari katika usalama wa taifa ni wewe wa kutoa hiyo hukumu na maamuzi ya kuwaita wenzetu Hatari???
Naombeni msaada ni nani huyu? Anapata wapi mamlaka na nani amemtuma?
Samahani JF niliiacha hii habari hewani bila kuiimarisha kwasababu huyu jamaa alinichefua sana, nasema ukweli nilifika hatua ya kufikiria kuukana utaifa wangu wa Tanzania. Polisi wanamuacha huyu? Vyombo vya habari mnaripoti mtu kama huyu really na mnaona ni taarifa ya kawaida tu....???
View attachment 701577
Mbona siku hizi yupo kimyaYupo poa, amejitoa mhanga kusema ukweli. Ametufungua macho kuhusu ufisadi unaofanywa na wanaojiita wakubwa.
Kesho ataongea na waandishi wa habari tusubiri tusikie ana nini la kusemaAnaomba aombewe na waTanzania sponsa wake ashakufa.
Kesho anaongea na waandishi wa habari anata kufurumisha kama kawaida yakeHuyu alikuwa anatumiwa na Magufuli akifikiri rais ni Immortal sasa baada ya Mwenyezi Mungu kuona kumbe Magufuli hakuwa na sifa uongozi akamuondoa na kumuacha Musiba akiwa hana pa kushika.
Karibu sana kesho ataongea na waandishi wa habariMbona siku hizi yupo kimya