Hakuna mwanasiasa wa ccm ambaye hayumo humu tena ndio watukanaji wakubwa na wengine wamekodi kabisa watu wa kuwasemea humu na kutukana wapinzani wao
Nani ataanza kumfunga paka kengele? Kabla haijaijaanza kutumika napendekeza invisible aanike majina halisi ya watu na ID zao utashangaa utakavyowaona wakubwa walivyokuwa wanaharisha humu ndani!