GE2025 CWT yawataka Walimu kushiriki kikamilifu katika Uchaguzi Mkuu Oktoba 2025

GE2025 CWT yawataka Walimu kushiriki kikamilifu katika Uchaguzi Mkuu Oktoba 2025

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

PAYE

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2025
Posts
354
Reaction score
395
Chama cha Walimu Tanzania (CWT) kimetoa wito kwa walimu kote nchini kushiriki kikamilifu katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 29, sambamba na kutumia nafasi yao muhimu katika jamii kuelimisha wananchi kuhusu umuhimu wa kushiriki zoezi hilo la kidemokrasia.

Wito huo umetolewa na Rais wa CWT, Dkt. Selemani Ikomba, wakati wa Mkutano wa Ujirani Mwema wa Viongozi wa CWT kutoka Kanda ya Kaskazini na Kanda ya Kati uliofanyika hivi karibuni.

Dkt. Ikomba amesisitiza kuwa walimu si tu ni msingi wa elimu katika taifa, bali pia ni viongozi wa fikra na maadili ndani ya jamii, hivyo wana wajibu wa kuhamasisha ushiriki hai wa wananchi katika masuala ya kiraia kama uchaguzi.

Ameongeza kuwa kupitia ushiriki wao, walimu wanaweza kusaidia kupunguza changamoto zinazowakabili katika sekta ya elimu kama vile uhaba wa miundombinu, maslahi duni, na mazingira magumu ya kufundishia.

Aidha, amewataka walimu kutumia muda huu kuelimisha wanafunzi, wazazi, na jamii kwa ujumla kuhusu haki na wajibu wao wa kikatiba kushiriki katika uchaguzi, huku wakihimiza amani, mshikamano, na uzalendo katika kipindi hiki muhimu kwa taifa.

Dkt. Ikomba pia ametoa wito kwa Tume ya Taifa ya Uchaguzi na wadau wengine kuhakikisha kuwa mazingira ya uchaguzi ni salama, huru na haki ili kuwapa wananchi imani ya kushiriki bila woga au vikwazo.

 
Tawi la ccm hilo. Walimu wengi wanaojitambua kwa sasa wapo Chakuhawata.
 
Kwani walimu hawana akili, mpaka wakaambiwe na rais wa CWT? Hii ni dharau kubwa sana kwa walimu, na ujinga wa huyo kiongozi wa CWT. Ina maana mwalimu hana utashi wa kujua ni nini kilicho chema kwake? Au walipomchagua kuwa rais wa CWT anaamini walimkabidhi na akili zao?
 
Maelekezo Maalum kuhusu tarehe 29 Oktoba.

Siku hiyo kazi ni rahisi sana

Viongozi wa CCM tunaishi nao mitaani; Nyumba zao zipo mitaani kwetu, mali zao zipo mitaani kwetu.

Ofisi za CCM zipo mitaani kwetu. Ofisi za Umma nazo zipo mitaani kwetu

VItuo vya kupigia kura vipo mitaani kwetu

Mawaziri, Wabunge na Madiwani tunaishi nao mitaani kwetu, familia zao na ndugu zao tunaishi nao mitaani kwetu. Machawa na mali zao tunaishi nao mitaani kwetu.

Ndugu watanzania, mafuta ya taa, petroli na viberiti havijawahi kuwa adimu.

Tukafanye kazi iliyotukuka hiyo Oktoba 29 hadi hawa Mafisadi watuheshimu na wakome kutuchezea na kutuua.

Share na mwenzako
 
Nchi hii jeshi la tatu namani wizara ya afya ndo watu hutosikia wakiguswaguswa , hata Maghufuli alishatoa onyo kali juu ya hawa jamaa kwa wateule wake .
Kwanza jamaa hawa wanaumoja na mtandao mkubwa sana

Chama cha Walimu Tanzania (CWT) kimetoa wito kwa walimu kote nchini kushiriki kikamilifu katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 29, sambamba na kutumia nafasi yao muhimu katika jamii kuelimisha wananchi kuhusu umuhimu wa kushiriki zoezi hilo la kidemokrasia.

Wito huo umetolewa na Rais wa CWT, Dkt. Selemani Ikomba, wakati wa Mkutano wa Ujirani Mwema wa Viongozi wa CWT kutoka Kanda ya Kaskazini na Kanda ya Kati uliofanyika hivi karibuni.

Dkt. Ikomba amesisitiza kuwa walimu si tu ni msingi wa elimu katika taifa, bali pia ni viongozi wa fikra na maadili ndani ya jamii, hivyo wana wajibu wa kuhamasisha ushiriki hai wa wananchi katika masuala ya kiraia kama uchaguzi.

Ameongeza kuwa kupitia ushiriki wao, walimu wanaweza kusaidia kupunguza changamoto zinazowakabili katika sekta ya elimu kama vile uhaba wa miundombinu, maslahi duni, na mazingira magumu ya kufundishia.

Aidha, amewataka walimu kutumia muda huu kuelimisha wanafunzi, wazazi, na jamii kwa ujumla kuhusu haki na wajibu wao wa kikatiba kushiriki katika uchaguzi, huku wakihimiza amani, mshikamano, na uzalendo katika kipindi hiki muhimu kwa taifa.

Dkt. Ikomba pia ametoa wito kwa Tume ya Taifa ya Uchaguzi na wadau wengine kuhakikisha kuwa mazingira ya uchaguzi ni salama, huru na haki ili kuwapa wananchi imani ya kushiriki bila woga au vikwazo.

 
Chama cha Walimu Tanzania (CWT) kimetoa wito kwa walimu kote nchini kushiriki kikamilifu katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 29, sambamba na kutumia nafasi yao muhimu katika jamii kuelimisha wananchi kuhusu umuhimu wa kushiriki zoezi hilo la kidemokrasia.

Wito huo umetolewa na Rais wa CWT, Dkt. Selemani Ikomba, wakati wa Mkutano wa Ujirani Mwema wa Viongozi wa CWT kutoka Kanda ya Kaskazini na Kanda ya Kati uliofanyika hivi karibuni.

Dkt. Ikomba amesisitiza kuwa walimu si tu ni msingi wa elimu katika taifa, bali pia ni viongozi wa fikra na maadili ndani ya jamii, hivyo wana wajibu wa kuhamasisha ushiriki hai wa wananchi katika masuala ya kiraia kama uchaguzi.

Ameongeza kuwa kupitia ushiriki wao, walimu wanaweza kusaidia kupunguza changamoto zinazowakabili katika sekta ya elimu kama vile uhaba wa miundombinu, maslahi duni, na mazingira magumu ya kufundishia.

Aidha, amewataka walimu kutumia muda huu kuelimisha wanafunzi, wazazi, na jamii kwa ujumla kuhusu haki na wajibu wao wa kikatiba kushiriki katika uchaguzi, huku wakihimiza amani, mshikamano, na uzalendo katika kipindi hiki muhimu kwa taifa.

Dkt. Ikomba pia ametoa wito kwa Tume ya Taifa ya Uchaguzi na wadau wengine kuhakikisha kuwa mazingira ya uchaguzi ni salama, huru na haki ili kuwapa wananchi imani ya kushiriki bila woga au vikwazo.


Chama cha Walimu Tanzania (CWT) kimetoa wito kwa walimu kote nchini kushiriki kikamilifu katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 29, sambamba na kutumia nafasi yao muhimu katika jamii kuelimisha wananchi kuhusu umuhimu wa kushiriki zoezi hilo la kidemokrasia.

Wito huo umetolewa na Rais wa CWT, Dkt. Selemani Ikomba, wakati wa Mkutano wa Ujirani Mwema wa Viongozi wa CWT kutoka Kanda ya Kaskazini na Kanda ya Kati uliofanyika hivi karibuni.

Dkt. Ikomba amesisitiza kuwa walimu si tu ni msingi wa elimu katika taifa, bali pia ni viongozi wa fikra na maadili ndani ya jamii, hivyo wana wajibu wa kuhamasisha ushiriki hai wa wananchi katika masuala ya kiraia kama uchaguzi.

Ameongeza kuwa kupitia ushiriki wao, walimu wanaweza kusaidia kupunguza changamoto zinazowakabili katika sekta ya elimu kama vile uhaba wa miundombinu, maslahi duni, na mazingira magumu ya kufundishia.

Aidha, amewataka walimu kutumia muda huu kuelimisha wanafunzi, wazazi, na jamii kwa ujumla kuhusu haki na wajibu wao wa kikatiba kushiriki katika uchaguzi, huku wakihimiza amani, mshikamano, na uzalendo katika kipindi hiki muhimu kwa taifa.

Dkt. Ikomba pia ametoa wito kwa Tume ya Taifa ya Uchaguzi na wadau wengine kuhakikisha kuwa mazingira ya uchaguzi ni salama, huru na haki ili kuwapa wananchi imani ya kushiriki bila woga au vikwazo.

Ila wasi shiriki katika uhalifu wa kiuchaguzi.
 
Back
Top Bottom