CV ya Waziri Lucy Nkya

kwa umri wake angekuwa amestaafu. Huko kwenye siasa hakuna kustaafu. Taabu ni pale anapokuwa hana uwezo wa kuungoza lakini analindwa na mtandao kwa gharama ya uhai wa wawatu.
 
Kwanza nashauri ifanyike inventory kwenye vyuo alivyosomea ili kuona kama kweli alikuwepo kwenye miaka anayoitaja, pili tufahamu kuwa kuna kusoma na kuudhulia na mwisho wa kozi wote mnaitwa wahitimu.
Lakini kubwa kuliko je mkuu wa nchi anachukuliaje uhai wa binadamu anaowaongoza? Anashindwa vipi kuwaondoa wizarani mawaziri hawa ili tuone kama madaktari wanavisingizio vingine?
Kinachoonekana hapa ni fahari wawili wanapigana na nyasi ndio zinaumia, kama issue ni kuwapa u waziri basi wapewe wizara zingine ili wanendelee kuwa viongozi wa kisiasa huko kuliko kuendelea na vita hii inayoumiza raia wasio na hatia. Pia waziri mkuu alikubaliana nao katika dai hili sasa wasisite kutimiza walichohaidi
 
ni vizuri ukauliza, ni kivipi hizi special seats zinapatikana na si kukurupuka tu.
 
Mara ya kwanza nilidhani viti maalumu wote ni popompo kumbe kuna wengine wana CV za ukweli!Hongera sana Dr Nkya kwa hilo.Jamani msikurupuke kukashifu mtiririko wa uandishi wa CV kwa kumshambulia muhusika moja kwa moja,hii CV imetoka katika website ya Bunge wala hajaiandika muhusika!Kutaka kujua hilo tembelea website ya bunge uone walivyochakachua CV za watu!!
 
JK amtoe ampe ukuu wa hospitali ya Mirembe kule Dodoma, maana atawezana na wale vichaa kule kwa kuwa ndiyo fani yake.
 

Acha kutetea UPUMBAVU wewe? Una maana website ya BUNGE ndiyo imechakachua hiyo CV? Mbona CV za baadhi wa wabunge ziko chronologically? Jinsi unavyo post INFO zako kwenye WEBSITE ya Bunge ndivyo zitavyotokea. There is no way information uliyopost ya kwanza iwe ya mwisho au vice versa, and there is room to up date, correct mistakes/errors. Huyu Waziri Dr. Nkya amedhihirisha SIO MAKINI, sidhani kama anaweza kuwa MAKINI na kugundua THE FINE BLUE PRINTS zinazofichwa kwenye mikataba mbalimbali.

Uandishi wa BARUA na CVs unafundishwa kuanzia FORM ONE. Waziri hatakiwi kuandika CV kama mlevi POMBE. It is a shame not only to her but to the government and Tanzanianis as whole kwasaababu wenzetu wa nje wanazisoma hizi CVs.
 


Mkubwa wenyewe huwa wana sub-mitt hard copy za CV zao,ofisi ya bunge ambao wana IT specialist ndiyo kazi yake kuziingiza data zao kwenye website!Hebu usitumie jazba,fuatilia CV za waheshimiwa kwenye website ya Bunge ujionee mwenyewe!Hainiingii akilini msomi kama yeye ambaye ameshawahi kuwa muhadhiri pale SUA asijue namna ya kuandika CV yake!!Hili ni tatizo la muingiza data ktk website ya bunge nasisitiza!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…