CV ya Pascal Mayalla

Naunga mkono hoja
 
Thanks mkuu. Sikutaka kujua lama zinacharge au la! Hata ivo nashukuru kumfahamu najaribu kumcheck hata youtube nione sura yake lakini wapi. Good for him lakini aache undezi
Ndio maana nikakwambia ni communication specialist,ukimuona kama Ndezi bado hujampa sifa stahiki
Huwa anapiga sehemu kwa wakati sahihi,halafu anarudi baada ya siku mbili kufanya assessment,na hata thread iwe na page 100,ana uwezo wa kupitia kila comment na hajui kutukana mtu
 
Im not yet convinced..how smart he is..unless mnajaribu kumpa title ambazo ha deserve kabisa kupewa..
 
Its okey, naendelea kukusanya wadhifa wake.
 
Paschala mayala nafikiri ana degree kama sikosei, maana miaka ya 2004 hadi 2007 nlikuwa mlimani, na nlikaa mabibo hostel, na yeye nlikuwa namwona na lipikipiki kubwa hivi
 
Im not yet convinced..how smart he is..unless mnajaribu kumpa title ambazo ha deserve kabisa kupewa..
Kwani wewe kigezo chako mtu kuwa smart ni kipi.
Umeomba cv tumekupa,unataka rohoye?😀
Mwenzako anapeta na jina lake humu,bado tu unasema sio smart?kuibomoa kote huku serikali hajapewa hata karipio la mdomo unadhani ni mwenzako huyu?
 
Mkuu ungeongeza pia Pascal ana exposure ya kuishi nje ya nchi kama 3 years both UK n' US. Nimejazia jazia nyama hio CV. Kiufupi jamaa ni nguli kwenye tasnia ya habari.
 
Kwa nilivoelewa jamaa hajamsifu paschal mayalla, isipokuwa kampiga jungu kiaina...
Eti kama ana historia ya matatizo ya kiafya hasa akili...
 
Thanks mkuu. Sikutaka kujua lama zinacharge au la! Hata ivo nashukuru kumfahamu najaribu kumcheck hata youtube nione sura yake lakini wapi. Good for him lakini aache undezi
Sura yake halisi ni hiyo inayoonekana kwenye profile yake
 
Kwani wewe kigezo chako mtu kuwa smart ni kipi.
Umeomba cv tumekupa,unataka rohoye?😀
Mwenzako anapeta na jina lake humu,bado tu unasema sio smart?kuibomoa kote huku serikali hajapewa hata karipio la mdomo unadhani ni mwenzako huyu?
kaibomoa wapi serikali..? Naona kama unataka kuharibu CV yake.
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…