Wekeni basi ya Slaaa wakuu ili tupambanue
Si unaona CV ya Rais inavyo takiwa kuwa, sasa Slaa na ye amwage ya kwake. Hapo ndipo mtakapo jua mwalinganisha mlima kilimanjaro na kichuguu
Profile ya Dr SlaaEDUCATION
International Eye H. Centre Certificate in Eye Health 1993-1993
TransWorld Tutorial College, London Certificate in Management 1985-1985
St. Thomas Aquinas University Advanced Diploma in Rural Development 1980-1981
St. Urban University, Rome PhD (JCD) Law 1977-1981 [Doctor of Canon Law (Latin: Juris Canonici Doctor or JCD)]
Kipalapala Seminary Certificate in Theology 1974-1977
Kibosho Seminary School Certificate in Philosophy 1972-1973
Itaga Seminary School A-Level Education 1970-1971
Dung'unyi Seminary School O-Level Education 1966-1969
Karatu Primary School Primary Education 1962-1965
Daudi Primary School Primary Education 1961-1961
Kwermusl Primary School (Mbulu) Primary Education 1958-1960
EMPLOYMENT HISTORY
Tanzania Society for Blind Managing Director 1992-1998
Tanzania Episcopal Conference Secretary General 1985-1991
Diocese of Mbulu Development Director 1982-1985
Diocese of Mbulu Vicar General 1982-1985
Diocese of Mbulu Development Director 1977-1979
Diocese of Mbulu - Roman Catholic Church Padre 1977-1991
POLITICAL EXPERIENCE
CHADEMA Principal Secretary 2002
CHADEMA Vice Chairman 1998 2002
CHADEMA Member of Parliament (Karatu Constituency) 1995 To date
CHADEMA Member of National Executive Committee 1995 -
Chama Cha Mapinduzi - CCM Secretary Foreign Branch (Rome) 1980 1982
Youth Union -TANU Secretary 1974 1977
TANU Chairman (Kipalapala Branch) 1974 1977
Retrieved on 13/7/2006 - www.parliament.go.tz
Kuna mahali nisikia GPA yake. Kitendo cha kutorudi darasani tena baada ya Ist degree ni uthibisho tosha hiyo GPA niliyo isikia ni ya kweli.Huyu jamaa kumbe alisoma degree ya uchumi91972-1975 B.A (Economics) University of Dar es Salaam) mbona siku ile ya mdaharo wa kuchakachua alisema hajui hesabu. Na kweli amedhibitisha uchumi hauwezi mimi hudhani kasoma political science.
Si unaona CV ya Rais inavyo takiwa kuwa, sasa Slaa na ye amwage ya kwake. Hapo ndipo mtakapo jua mwalinganisha mlima kilimanjaro na kichuguu
Kwa sivii hii ya slaa, ikulu yetu haimuhusu.
Wana FR naomba mnipambanue,mbona nasikia akina Ridhiwan yule mama Salma si mama yao,au amezaa wote 8 na mama Salma alafu kuna wengine waliozaliwa na Ridhiwan basi atakuwa ni balaa,kidume cha mbegu,alafu elimu yake itakuwa haijamkomboa watoto wote wa nini usawa huu.
CV yake haitishi kivile,kumbe hana Masters yeyote ya kusomea.
wewe utakuwa ms
Minister for energy and minerals -JK akaingiza nchini IPTL inayoendelea kukwangua mpaka leo, akaingiza mkataba tata na kinyonyaji wa bulyankulu utawanyonya watanzania miaka 200 ijayo na kuacha mashimo bila barabara nzuri, maji, vyuo, zahanati nk..
Minister for foreing affairs and cooperation -hapo ndipo mikataba mingi mibovu ilipoingia inchini na sasa tunataaabika
Member of Parliament -waulize chalinze na bagamoyo walifaidika na nini harafu uwaulize watu wa karatu wamefaidika na nini?
wakati slaa anafichua mafisadi list of shame kama mbunge kikwete anawaficha na kuwalinda mafisadi kama rais ikiwa ni pamoja na kuwaombea kura kwa wananchi wachaguliwe.
wakati slaa anapigania malsahi bora kwa wafanyakazi kama mbunge kikwete kama Rais yupo teyari kuwaponda virungu wakiandamana kudai haki zao
wakati slaa anaongelea afya na elimu bora kwa maskini wa Tanzania kama mbunge kikwete anabagua aliyepata first class ndio adhaminiwe
wakati slaa anaongelea reli ya mwendo kasi ya kati kiwkete anaongelea viwanja vya ndege kila mkoa -
wakati slaa anaongelea katiba mpya -kikwete amekurupuka kuunda tume
tuwapime watu hawa kwa umakini wao na sio maisha binafsi manake kwa kufanya hivyo itakuwa ni kumtusi slaa kumlinganisha kimaadili na viongozi hawa walioshindwa kuongoza nchi.
Phillemon Mikael, degree ya msingi ni ya kwanza tuu, hizo nyingine ni ziada. Ila pia ili mtu kusoma masters, kuna vigezo unatakiwa uwenavyo plus interest for futher studies. Kama degerii ya kwanza umeipata kwa mbinde, supps na carry overs kibao, hatimaye ukalikwaa gamba na GPA ya less than 2.0 unategemea nini?.Nashangaa sana mtu aliyegraduate uchumi mwaka 1975......miaka 35 tangu atoke chuoni ameshindwa kurudi darasani kujiongezea fani....ni uvivu ....watu wengi waliopata degree miaka hiyo elimu ikiwa adimu tena aliokuwa nao darasa moja ndio hao kina professor lipumba.......!!
Yet unashangaa kuwa Kijeshi pia hana historia ya kutukuka ukiacha kupanda cheo kisiasa.....hakuhudhuria kozi za medani za kijeshi.....alafu inaonekana alikuwa ana utovu wa nidhamu ndio maana Alianza kazi na vyeo vikubwa akawa anashushwa...mfano....alikuwa katibu msaidizi ccm zanzibar,katibu wa ccm mkoa,akawa afisa tawala wa chama -Taifa [chini ya Daud mwakawago],akapelekwa kuwa mwalimu wa siasa jeshini...[akaharibu...kwa kujihusisha na wake za askari...hadi akapigwa vibao na wa...]..akakimbilia ccm makao makuu ...wakamchusha cheo hadi ..kazi ya katibu wa ccm wilaya ..enzi hizo ni kazi ilikuwa inafanywa ...na makada wenye elimu ya darasa la saba.........Kama sio warioba kumkuta Lindi wakati alipoenda kuweka kambi kule kukarabati madhara ya mafuriko ya lindi na mtwara....na kumuonea huruma graduate mzima anaendesha baiskeli..na kumuombea kwa mzee mwinyi ampe ubunge..[jambo ambalo kikwete anakiri hadharani na kumshukuru warioba]........Kikwete angeishia huko huko kwa kuwa tabia yake ya uchafu ilikuwa inakwaza kila mara faili lake linapopelekwa Ikulu............
Waakati wa uchaguzi wa mwaka 2005..alitumia nguvu kubwa sana ili faili la utendaji wake tangu anaingia kwenye utumishi wa chama lisisomwe na wajumbe wa kamati kuu ya chama........ingekuwa ni aibu....na hata huko jeshini faili lake lilikuwa chafu sana....kwa wanomjuwa tabia zake hasa waliokuwa wakuu wake wa kazi jeshini na kwenye chama wanashangaa sana kama kweli kikwete wanayemfahamu ni rais ....na kama kweli ataweza kuacha udhaifu wake ....hasa kwa wanawake...warembo....na kwa waliokuwa naye wansema alikuwa akikosa mrembo ni yeyote!!!....lakini pia ...waliokuwa naye Tanga School wanakiri kuwa zaidi ya kuwapenda wanawake pia wanawake wanampenda ......na enzi hizo wakimuita JAKAYA.....wanasema kila walipokuwa wakienda KOROGWE GIRLS basi yeye ndio aliikuwa anapata wanawake........na kwa kuwa hakuwa mbabe basi ilikuwa inamletea matatizo sana pale demu wa mbabe anapombabaikia...Jakaya...!!..sometimes kichapo!!
Ndo nachakata na mama gaude wangu kupata kamoja..mitoto ikiwa mingi mnaanza kugombania remote ya tv mi staki mambo hayo
Profile of Hon. Jakaya Mrisho Kikwete
Born on 7th October 1950 at Msoga, Bagamoyo District, Coast Region, sixth born in the family of nine children. He is married to Mama Salma Kikwete and blessed with eight children
CAREER BACKGROUND
1995-2005Minister for Foreign Affairs and International Cooperation
1995-2005Member of Parliament for Chalinze Constituency
1994-1995 Minister for Finance
1990-1995 Member of Parliament for Bagamoyo Constituency
1990-1994 Minister for Energy, Minerals and Water Development
1988-1990Deputy Minister for Energy and Minerals
1986-1988 Nachingwea and Masasi Districts (CCM) Secretary General
1983-1986 Political Tutor at the Tanzania Military Academy in Monduli
1981-1983 Tabora CCM Regional Secretary
1980-1981Administrative officer CCM Headquarters
1977-1980 Deputy Secretary of CCM, Zanzibar
1976-1977Singida Regional Secretary of TANU
1975-1976Deputy Regional Secretary of Tanganyika African National Union (TANU) in Singida
EDUCATION
Feb. 2010 Honorary Doctoral Degree in International Relations from the University of Fatih, Istanbul, TurkeyDec.
2008 Honorary Doctoral Degree in Humane Letters from the University of Kenyatta, Nairobi, KenyaSep.
2006 Honorary Doctoral Degree in Law from St. Thomas University of Minneapolis, Minesotta, USA
(sijui education hii aliipata saa ngapi)
1983-1984Military Leadership Training(WHERE?)
1976-1977 Military Training at Tanzania Military Academy (TMA) at Monduli
1972-1975 B.A (Economics) University of Dar es Salaam
1970-1971 Tanga Secondary School
1966-1969 Kibaha Secondary School
1962-1965 Lugoba Middle School
1958-1961 Msoga Primary School
OTHER DISTINGUISHED POSTS HELD
July 2010Chairman of the African Leaders Malaria Alliance (ALMA) for 2010-2011
Jan 2010 Chairman of the East African Community (EAC)
2008Chairman of the African Union (AU)
2004 Co-Chair of the Helsinki Process on Globalisation and Democracy
2004 Chairman of the Council of Ministers of the Southern African Development Community (SADC) 1997Chairman of the Council of Ministers of the Organisation of African Unity (OAU)
1997 Chairman of the Council of Ministers of the East African Community (EAC).
1997Chairman of the Group of 77(What?...KINGS or PRESIDENTS)
1995Chairman of the Board of Governors of the East African Development Bank (EADB )
SOURCE: Jakaya Mrisho kikwete
Kwa sivii hii ya slaa, ikulu yetu haimuhusu.
Mkuu wa upimaji wa CV kati SLAA na KIKWETE. kuna hiki kipande tusaidie kukipima ni muhimu.
The Family of nine children. He is married to Mama Salma kikwete and blessed with eight children