George Barran
JF-Expert Member
- Sep 2, 2015
- 634
- 1,244
Niaje wadau viwana wenzangu naomba tupeane support kwenye utafutaji wa ridhiki zetu za kila siku mimi ni kinyozi nina uzoefu wa miaka mitano(5) kwenye kazi yangu naishi kigamboni, Dar es salaam
Natoa huduma ya kunyoa kwa upande wa kike na kiume staili ya aina yeyote atakayopendekeza mteja na ata kutoa ushauri kutokana na kichwa chake
Natoa huduma ya kumfuata mteja popote halipo ndani ya Dar es salaam kazi itafanywa kwa maelewano.
Mawasiliano 0784440627
Ahsanteni.
Natoa huduma ya kunyoa kwa upande wa kike na kiume staili ya aina yeyote atakayopendekeza mteja na ata kutoa ushauri kutokana na kichwa chake
Natoa huduma ya kumfuata mteja popote halipo ndani ya Dar es salaam kazi itafanywa kwa maelewano.
Mawasiliano 0784440627
Ahsanteni.