Huu ni uzi maalum wa kupost picha ya eneo husika ulilopo au ulilokuwepo kipindi fulani!
Welcome!!
Hapa kama iringa hivi
Naam hujakosea captain...!!Hapa kama iringa hivi
sent from iphone 7 using Jamii forum mobile app
kama watu hawataingiza porojo za kisiasa, mapenzi au udini,thread hii itakuwa nzuri sana.Kauzi kazuri haka lkn ndo hivyo siwezi kuupload picha