CUF yajitoa rasmi UKAWA

Quinine

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2010
Posts
24,149
Reaction score
56,457
Katibu Mkuu mpya wa Chama Cha Wananchi CUF, Khalifa Suleiman Khalifa, amesema wao kama chama cha Wananchi wameshajitoa kwenye mwamvuli wa Umoja wa Katiba ya Wananchi 'UKAWA' kwa madai upo hoi na hauna msaada kwao.

Akizungumza na EATV Khalifa amesema kwamba huo Umoja wa Katiba ya Wananchi kwa upande wao wanaona kama haupo, hivyo wao wameshajitoa huko.

"Ukawa wenyewe upo hoi bin taabani. Haupo mimi sidhani kama upo" amesema.
 
Ni kweli UKAWA umekuwa UKIWA


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani hiyo cuf ipo?

In God we trust
 
kama ukawa UKO taaban sijui cuf ikoje

Jr
 
Sisiemu wanachanga karata huku mikono yao ikiwa na maji, mwisho wanashindwa kusoma kama wamelamba dume au garasa.. mpaka wakija kufunua ndo wanagundua.. Kwenye hili la cuf, sisiemu wamelamba garasa aisee.. Naamini wenyewe wanajuta huko, wangejua wangeiacha kesi iendelee kulega lega..
 
Kwani hilo ilikuwa mpaka aseme wakati UKAWA wenyewe wanajuwa kuwa CUF haipo tena iko CUF lipumba ambayo haina makubaliano yeyote na UKAWA?

Lipumba ndio Muasisi wa Ukawa Na Hata Jina hilo amelitohoa Lipumba kwa mujibu wa Maalim Seif Na Mbowe

Siasa ya Chadema Haina Mtabiri

Usishangae Prof Lipumba akawa ndio Mgombea wa Chadema 2020 akawa anaitwa 'Rais wa Mioyo yetu'
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…