sosoliso
Platinum Member
- May 6, 2009
- 8,543
- 9,478
Naibu katibu mkuu wa CUF Julius mtatiro ameitaka serikali kuacha kupuuza suala la mfumuko wa bei, kwani limekuwa janga kwa wananchi na kwamba, linaweza kuleta athari kubwa kwa uchumi wa nchi.
Akizungumza kwenye ziara ya kuimarisha chama mkoani tabora juzi, mtatiro alisema imefika wakati kwa serikali ya CCM kulitizama upya suala la mfumuko wa bei kwa sababu linaweza kuiondoa madarakani.
"Suala la maisha ya watanzania siyo suala la kisiasa, kwani bila ya kusema ukweli jinsi hali ya uchumi ilivyo sasa… serikali inatakiwa kuliitafutiea ufumbuzi suala hili na kama imeshindwa iseme" alisema mtatiro na kuongeza: "kwa sasa kila bidhaa ipo juu jambo ambalo linasabisha baadhi ya wananchi kushindwa kumudu bei hizo, hali ambayo inapelekea kuanza kuishi maisha magumu ikiwamo kuombaomba.
Pia mtatiro alisema suala hilo linatokana na baadhi ya viongozi wa serikali kulifumbia macho na kuliona kama siyo tatizo, kwa sababu wanapata wepesi kutokana na fedha za walipa kodi.
"CUF inasisitiza kwamba suala la mfumuko wa bei linatakiwa kutafutiwa ufumbuzi wa haraka kwani bila ya kufanya hivyo wananchi ambao ndiyo wanaoteseka watachoka kuvumilia" alisema mtatiro na kuongeza: "kama sukari, mchele, maharagwe, unga vinazidi kupanda bei, ina maana itafika wakati wananchi ambao ni wapiga kura wao watapoteza mwelekeo wa maisha kutokana na serikali kushindwa kudhibiti hali hiyo"
Naibu katibu mkuu wa CUF Julius Mtatiro ameitaka serikali kuacha kupuuza suala la mfumuko wa bei, kwani limekuwa janga kwa wananchi na kwamba, linaweza kuleta athari kubwa kwa uchumi wa nchi.
Akizungumza kwenye ziara ya kuimarisha chama mkoani tabora juzi, mtatiro alisema imefika wakati kwa serikali ya CCM kulitizama upya suala la mfumuko wa bei kwa sababu linaweza kuiondoa madarakani.
"suala la maisha ya watanzania siyo suala la kisiasa, kwani bila ya kusema ukweli jinsi hali ya uchumi ilivyo sasa… serikali inatakiwa kuliitafutiea ufumbuzi suala hili na kama imeshindwa iseme" alisema mtatiro na kuongeza: "kwa sasa kila bidhaa ipo juu jambo ambalo linasabisha baadhi ya wananchi kushindwa kumudu bei hizo, hali ambayo inapelekea kuanza kuishi maisha magumu ikiwamo kuombaomba.
Pia mtatiro alisema suala hilo linatokana na baadhi ya viongozi wa serikali kulifumbia macho na kuliona kama siyo tatizo, kwa sababu wanapata wepesi kutokana na fedha za walipa kodi.
"CUF inasisitiza kwamba suala la mfumuko wa bei linatakiwa kutafutiwa ufumbuzi wa haraka kwani bila ya kufanya hivyo wananchi ambao ndiyo wanaoteseka watachoka kuvumilia" alisema mtatiro na kuongeza: "kama sukari, mchele, maharagwe, unga vinazidi kupanda bei, ina maana itafika wakati wananchi ambao ni wapiga kura wao watapoteza mwelekeo wa maisha kutokana na serikali kushindwa kudhibiti hali hiyo"
Source: Mwananchi
My take..
ni vizuri sasa wameanza kujitambulisha rasmi kwamba CUF ni sehemu ya CCM
Akizungumza kwenye ziara ya kuimarisha chama mkoani tabora juzi, mtatiro alisema imefika wakati kwa serikali ya CCM kulitizama upya suala la mfumuko wa bei kwa sababu linaweza kuiondoa madarakani.
"Suala la maisha ya watanzania siyo suala la kisiasa, kwani bila ya kusema ukweli jinsi hali ya uchumi ilivyo sasa… serikali inatakiwa kuliitafutiea ufumbuzi suala hili na kama imeshindwa iseme" alisema mtatiro na kuongeza: "kwa sasa kila bidhaa ipo juu jambo ambalo linasabisha baadhi ya wananchi kushindwa kumudu bei hizo, hali ambayo inapelekea kuanza kuishi maisha magumu ikiwamo kuombaomba.
Pia mtatiro alisema suala hilo linatokana na baadhi ya viongozi wa serikali kulifumbia macho na kuliona kama siyo tatizo, kwa sababu wanapata wepesi kutokana na fedha za walipa kodi.
"CUF inasisitiza kwamba suala la mfumuko wa bei linatakiwa kutafutiwa ufumbuzi wa haraka kwani bila ya kufanya hivyo wananchi ambao ndiyo wanaoteseka watachoka kuvumilia" alisema mtatiro na kuongeza: "kama sukari, mchele, maharagwe, unga vinazidi kupanda bei, ina maana itafika wakati wananchi ambao ni wapiga kura wao watapoteza mwelekeo wa maisha kutokana na serikali kushindwa kudhibiti hali hiyo"
Naibu katibu mkuu wa CUF Julius Mtatiro ameitaka serikali kuacha kupuuza suala la mfumuko wa bei, kwani limekuwa janga kwa wananchi na kwamba, linaweza kuleta athari kubwa kwa uchumi wa nchi.
Akizungumza kwenye ziara ya kuimarisha chama mkoani tabora juzi, mtatiro alisema imefika wakati kwa serikali ya CCM kulitizama upya suala la mfumuko wa bei kwa sababu linaweza kuiondoa madarakani.
"suala la maisha ya watanzania siyo suala la kisiasa, kwani bila ya kusema ukweli jinsi hali ya uchumi ilivyo sasa… serikali inatakiwa kuliitafutiea ufumbuzi suala hili na kama imeshindwa iseme" alisema mtatiro na kuongeza: "kwa sasa kila bidhaa ipo juu jambo ambalo linasabisha baadhi ya wananchi kushindwa kumudu bei hizo, hali ambayo inapelekea kuanza kuishi maisha magumu ikiwamo kuombaomba.
Pia mtatiro alisema suala hilo linatokana na baadhi ya viongozi wa serikali kulifumbia macho na kuliona kama siyo tatizo, kwa sababu wanapata wepesi kutokana na fedha za walipa kodi.
"CUF inasisitiza kwamba suala la mfumuko wa bei linatakiwa kutafutiwa ufumbuzi wa haraka kwani bila ya kufanya hivyo wananchi ambao ndiyo wanaoteseka watachoka kuvumilia" alisema mtatiro na kuongeza: "kama sukari, mchele, maharagwe, unga vinazidi kupanda bei, ina maana itafika wakati wananchi ambao ni wapiga kura wao watapoteza mwelekeo wa maisha kutokana na serikali kushindwa kudhibiti hali hiyo"
Source: Mwananchi
My take..
ni vizuri sasa wameanza kujitambulisha rasmi kwamba CUF ni sehemu ya CCM