Lancashire
JF-Expert Member
- Sep 20, 2014
- 14,045
- 10,329
CUF ya lipumba ni tawi la CCM
Chama chake kipi? Lipumba hana chama, katumwa tu yule ndio maana akikohoa tu aliyemtuma anaitika.Lipumba anasahau kupitia nguvu ya UKAWA ndo sababu ya chama chake kujiongezea viti katika chaguzi mbalimbali... Hiyo njia ya kujitenga anayotaka kuitumia sasa hivi itamtokea puani